ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
This is true...
Je wajuu it snowed in the Sahara desert on
february 18 1979.
hii ya snow bala tupu..
This is true...
Je wajuu it snowed in the Sahara desert on
february 18 1979.
je wajua kuwa kikwete ni rais dhaifu kupita wote waliowahi ku-exist africa?
Charm shost,
jaribu ila usipitishe hata sekunde 0 ikifika 8 kwani hutaona chochote.
Ni rahsi sana japo inatisha.
je wajua kuwa KIKWETE ni rais DHAIFU kupita wote waliowahi ku-exist AFRICA?
Je wajua nchi yako wafanyakazi ndio wanaolipa kodi kubwa kuliko matajiri na wafanyabiashara?
Madame B hilo suala la jicho mbna cjakupata ati. . . hebu dadavua kiduchu
Madame B issue ya mizuka ni noma. km ingekuwa mîe ningehama tu. wee asikwambie mtu mzuka kitu kingine!
This is true...
Je wajuu it snowed in the Sahara desert on
february 18 1979.
Ok ni hv,ukubwa wa jicho lako siku unayozaliwa ni uleule,hauongezeki wala haupungui mpaka utakapokufa,ila kitakachofanya jicho lionekane kubwa ni nyama za nje za chini na juu ya jicho hutanuka na kuvutana ktk ukuaji wa uso na hvyo hupelekea kuonekana jicho lako kubwa,lakini si hvyo.
Jicho halikui.
Hapana huwezi kuikimbia Mizuka.
Ila Charm unahtaji kuona mzuka ulivyo?
Ila usiogope.
Nataka nikupe zoezi ukalifanye leo usiku kwako ili uuone mzuka.
hii ndoa ilifungwa wapi mbona sikupata mwaliko Madame B?
loooh..!! Mwnfnz wangu Kaizer c lazima mumeo umwite Hubby,
hata Best frnd wako ni Hubby.
ruttashobolwa ni mwana jf mwenzangu so other side ni Hubby.