Inasemekana kuwa Watu toka Nchi Fiji asili yao ni Tanganyika!Walikuwa wakiambiwa na Mababu zao kuwa asili yao ni Tanganyika!Nimejaribu kuongea na wenyeji wahuko kupata ukweli na wakanithibitisha kuwa ni kweli.ila ukijaribu ku- Google ni tofauti!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.