Una matatizo ya akili nadhani. Mbowe alichofanya ni kuhabarisha Umma kujua wawakilishi wetu wanaishije huko Bungeni. Kuna shida gani wewe na wengine kupata hiyo taarifa?! Kama taarifa imekuuma ndo uwauliza hao waliojiongezea. Shida iko wapi?Professor wa chuo kikuu hapati hata ml 15 Kwa mwezi,
Iweje Musukuma wa la Saba akunje zaidi ya ml 18 Kwa mwezi?