SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,266
- 6,906
Mbowe aione bandiko hili.Unagomeaje kitu ambacho kipo kisheria
Mbowe aione bandiko hili.Unagomeaje kitu ambacho kipo kisheria
Mngekuwa mnajua maana ya DEMOKRASIA, msingeiba kura.Eti nyie ndio mnahubiri Demokrasia,kwenye uzi tu unaweka vikwazo kwa wenzako,Chadema mna safari ndefu sana,ndio Mbowe na Lema wamewaibia pesa za Join the chain.
Kwahiyo CHADEMA 2025 haitapata mbunge hata mmoja 2025?Wewe ndiye unayetoka povu. Badala ya kutumia akili unatumia fake emotions. Wala dhiki ya masikini wa Tanzania huijui.
Usingekuwa unawatumikia na kuwanyenyekea mafisadi wa CCM wanaoamua kujilipa mamilioni na mabilioni kiasi hicho.
Unahangaika kuhamishia attention kwa CHADEMA wasio na influence serikalini wala bungeni? c'est très
bizarre!
Ikiwa huoni mantiki kwenye mada hii umeamua kutoiona,Hiyo ni agenda ya ACT Wazalendo. Adui yao mkuu ni CHADEMA si CCM.
Hao lengo lao tangu awali ni kutumia mwamvuli wa “upinzani” kuelekeza mashambulizi yasiyo na mantiki; ya kihisia zaidi kwa CHADEMA huku CCM ikiachiwa nafasi ya kupumua katika harakati zake za kufisidi taifa. Na kuwagawia kitu kidogo.
Ndio sababu ya mtu kukomaa na mada isiyo na mantiki.
Mimi sidhani kama wakiwa bungeni wanapaswa kuigomea mishahara hiyo, bali wanapaswa kufanya ni kupambania sheria hiyo inayotoa mishahara mikubwa tofauti na kada zingine muhimu kama udaktari, uhandisi nk.Unamaanisha kauli ya Mh Mbowe ni ya kisiasa zaidi,
Tuipuuze?
Unaona wivu na kutaka uwe wewe! Utashika ukuta ndugu yangu kwa hizo tamaa zakoKipara kipya huyo!
View attachment 2943598
Nisamehe kwa kuweka faragha yako hadharani dada!Unaona wivu na kutaka uwe wewe! Utashika ukuta ndugu yangu kwa hizo tamaa zako
Mngekuwa mnajua maana ya DEMOKRASIA,msingetukana watu.Mngekuwa mnajua maana ya DEMOKRASIA, msingeiba kura.
Unajua maana ya kupoteza ajira? Wamepewa fursa ya kuhama au kuajiriwa DP World, hivi Chadema huwa mnasoma vitu kweli,au mnapotosha makusudi?Pale bandarini mlisema kuwa wale wafanyakazi wote hawatapoteza ajira?
Nini kinaendelea hv sasa?
Najua chawa mnaumia sana maana kama zikipunguzwa tu na kazi zenu humu mtandaoni zitakuwa kwishney. Sijui ni kwa nini chawa wa ccm wamekasirishwa na kauli ya mbowe kiasi hikiCHADEMA kama chama kikuu, chama mbadala,
Itoke na kusema wazi,
Upi Hasa unatakiwa kuwa mshahara wa mbunge,
Mimi nionavyo,
Mbunge hapasi kulipwa zaidi ya ml 3,
Jibu HOJA,Najua chawa mnaumia sana maana kama zikipunguzwa tu na kazi zenu humu mtandaoni zitakuwa kwishney. Sijui ni kwa nini chawa wa ccm wamekasirishwa na kauli ya mbowe kiasi hiki
Muulize mleta mada, hii inchi ni yetu sote, Kila mtu anayeumizwa na tatizo hili ni jukumu lake kutafuta namna ya kulitatua. Kwa kuwa ameliona tatizo na anafikiri wa kulitatua ni chadema, basi naye ajiunge na chadema, agombee ubunge, apambane na kukataa wizi huu.Hoji chanzo cha tatizo. Sasa hapa unahoji watu ambao hawako serikalini wala bungeni? Unahoji uongozi wa CHADEMA kuhusu matumizi ya kodi zako? Halafu unauliza swali la kinadharia wakati kodi zinafujwa in real time? Be serious please.
CHADEMA chama mbadala chenye mbunge mmoja tu wa jimbo?
Inakuwaje unaogopa kuwagusa wanaohusika na ufujaji mkubwa wa fedha za umma unaoendelea nchini hivi sasa? Subiri CHADEMA waingie bungeni au madarakani uwape kazi ya kufanya. Unachofanya hapa ni kupiga ramli.
Wanahamia wote sio?Unajua maana ya kupoteza ajira? Wamepewa fursa ya kuhama au kuajiriwa DP World, hivi Chadema huwa mnasoma vitu kweli,au mnapotosha makusudi?
Kusema CCM wanaiba kura ni kuwatukana,Mngekuwa mnajua maana ya DEMOKRASIA,msingetukana watu.
Walipe Laki tisa😳Mtu analipwa hela kibao kwakupitisha asichokijua. Lugha hajui halafu eti anapitisha muswada.
Eti akisema ndioooooo ndio imeenda hiyo yaaaani imeeendaaaaa. Inaenda kusainiwa iwe sheria.
Walipwe laki tisa kama polisi walimu na manesi
Unaona maneno anayotumia yule bilionea wenu Jacob dhidi ya ACT? Kama mnaona ACT inakufa achaneni nayo tuu ijifie si kutumia maneno kama yale,nyie jengeni chama mbona mlipofika CHADEMA ni pakubwa tuuKusema CCM wanaiba kura ni kuwatukana,
Au ndio kusema ukweli mchungu!!
Umebadili swali tena aisee chadema bana, pale ni kuwa wanaoona inafaa watahamia bandari nyungine,ikishindikana wataacha walipwe mafao au waajiriwe na waliopewa kuendesha bandariWanahamia wote sio?