Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
ze nyetis ni kuwa kuna chombo kimoja cha habari kimelambishwa mamilioni...na special task force ya kuzuia mgomo wa wafanyakazi..ili kuendesha propaganda maalum za kuwanyongonyesha na kuwatisha wafanyakazi wasije wakagoma ....maskini watu kama hao waliokubali huo mshiko wanakula kwa kuzorotesha haki za wenzao....