Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
"Napenda kuchangia mada ya bw.selemani kwa kuuliza maswali yafuatayo:
1. Je, kuna mtangazaji yeyote pale clouds ana shahada au stashahada ya uandishi wa habari? Jibu hapana
2. Je, kuna mtangazaji yeyote alomaliza kidato cha 6? Jibu ni hapana
3. Kuhusu kukebehi mgomo wa TUCTA., Je, kuna mtangazaji anayelipwa zaidi ya laki 2 pale clouds fm? Jibu ni hapana
4. Overall, katika clouds nzima, in all departments, with more than 40 employees, kuna employees wawili tu wenye digrii.
5. Wengi wa watangazaji na wafanyakazi ni form four failure na std 7!!
SWALI KWA WanaJF: WITH ALL THESE CIRCUMSTANCES WHAT DO U EXPECT?
Note: i have had been working there!
Hii post nimeikuta kwenye forum moja hivi imenishtua sana, hivi kuna ukweli wowote kuhusu haya maneno.
1. Je, kuna mtangazaji yeyote pale clouds ana shahada au stashahada ya uandishi wa habari? Jibu hapana
2. Je, kuna mtangazaji yeyote alomaliza kidato cha 6? Jibu ni hapana
3. Kuhusu kukebehi mgomo wa TUCTA., Je, kuna mtangazaji anayelipwa zaidi ya laki 2 pale clouds fm? Jibu ni hapana
4. Overall, katika clouds nzima, in all departments, with more than 40 employees, kuna employees wawili tu wenye digrii.
5. Wengi wa watangazaji na wafanyakazi ni form four failure na std 7!!
SWALI KWA WanaJF: WITH ALL THESE CIRCUMSTANCES WHAT DO U EXPECT?
Note: i have had been working there!
Hii post nimeikuta kwenye forum moja hivi imenishtua sana, hivi kuna ukweli wowote kuhusu haya maneno.