Je uliya jua haya kuhusu Clouds Media?

Status
Not open for further replies.
Jamani nani kawambia ukiwa na degree ndio soln ya kufabya kazi kwa ufanisi;sio nawatetea vijana wana vipaji na kama kweli awana elimu vyema washirikishwe kozi ndogo ndogo..labda kwa kifupi tu

ni marubani 5 kati ya 50 walio na degree
na wanaoendesha ndege zetu kwa upande wa atc na precission na wale wasiokuwa na degree
wapo very bright hasa wakikumbana na anga za ajabu ajabu ..ukiacha makosa madogo madogo ya kawaida
so atukatai lakini vyema wakaelezwa kujiendeleza na kujifunza kujua jinsi ya kuheshimu mahali pa kazi ni meona ma dada fulani wanatukana tukana ovyo kwenye redio na vipindi vyao dina na gea kama si kosei ukisikia vipindi vyao haata

Mkuu nani kakwambia kuwa urubani ni usomi.
Urubani ni practice kama ilivyo udereva wa taxi,pale ni kujua kuendesha mkuu.
Usomi kwa taarifa yako ni kutu kingine kabsa.
Jaribu kuelewa tofauti kati ya thinkers and doers.
 
Hivi huu uzuzu wa kusema Elim sio hoja ni akili ya mtu kweli?Halfu eti unaitwa au untegemea kuita Baba au Mama.
Elim ni lazima kwa ulimwengu wa sasa sio wa kubahatisha.
Na nyie mnaosema Elim sio hoja mshukuru sana Serikali kusita hizi issue za EA Community ndio mngemalizwa kabisaa,sasa nyie acheni kwenda shule msubiri kilio hapo mbele na kutegemea kubahatisha wakenya na waganda haoo.

Kwa ufupi wale watangazaji almost wote ni Google Families,uwezo wao na uelewa wao ni mdogo sana globally and countrywide katika sector zote,kwa mapenzi ni mahodari,na umaarufu wao ni huo pamoja na shows tu.

Ulimwengu wa sasa kwa muandishi wa habari shule muhim sana.
Big UP ITV,ndio redio pekee yenye wasomi wengi.
Mmoja ni Godwin Gondwe ambae pia ni Muhadhiri wa Chuo kikuu cha Tumaini.
IPP media hawabahatishi.

Sasa hao mnaotetea nyie wasiosoma under paid staffs kazi yao,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom