fige
JF-Expert Member
- Jul 4, 2010
- 376
- 61
'siamini hata kidogo kuwa watoto wanaozaliwa na mama au baba fulani ndio wana uwezo au kipaji cha kuwa viongozi '
Hayo si maneno yangu bali maneno ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.Nimenukuu maneno hayo kwa sababu ya wimbi la watoto wa viongozi wanaotaka uongozi.Wanajamii tunaonaje ,je hawa watoto wanachaguliwa kwa sababu wanafaa,ni kwa nguvu ya wazazi,au ujinga wa wananchi ?Je kuna athri yeyote kijamii kwa wimbi hili kuendelea ?
Hayo si maneno yangu bali maneno ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.Nimenukuu maneno hayo kwa sababu ya wimbi la watoto wa viongozi wanaotaka uongozi.Wanajamii tunaonaje ,je hawa watoto wanachaguliwa kwa sababu wanafaa,ni kwa nguvu ya wazazi,au ujinga wa wananchi ?Je kuna athri yeyote kijamii kwa wimbi hili kuendelea ?