Mathias
Senior Member
- Apr 22, 2009
- 118
- 12
NI kweli awa jamaa wa zeutamu hawatufai katika jamii ya maadili ya jamii yetu, ni kweli kwamba watu wengi wamechafuliwa na mambo aya yapo katika jamii yetu ila hayajafikia kiasi icho wao zeutamu wanachokiamini! Kwa maoni tu mie ningependa web hii ifungwe na wote wanaohusika nayo wafikishwe kwenye vyombo vya sheria kwa uchafuzi wa jamii