Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Hapana,
Kwa sasa wacha tuwatangaze japo kidogo tu!
Du Mkuu umeibiwa pswd? Siamini ni wewe, kama ndiye hapa umeboa stiffly ...!
Hapana,
Kwa sasa wacha tuwatangaze japo kidogo tu!
Mwanakijiji na Wana JF.nimeshasema hili na kuandika kwenye Cheche na hata Tanzania daima; huwezi kuwa na standards tofauti ndio maana watu wanapush the envelope. Ile habari ya kusagana iliyoandikwa kwenye Ijumaa endapo ingekuwa na kichwa cha habari "Waziri x afumwa Geto akisagana au Akiliwa uroda" na ikawa describe vile nadhani serikali ingechukua hatua.
Kuna mtu haelewi maana ya uhuru wa maoni.
LOL!!! Eti kinyume na maadili ya mtanzania.... wake up my bro this is not the TZ of 1960, waTZ hawana maadili anymore and by inlarge this has been coz'd by the very same ppl who this photos potray, acheni unafiki, eti maadili... madili ya mTZ ni kuwa na nyumba ndogo, kushinda kwenye ma-guesthouse, kuua kwa ushirikina, kutafuta au kutoa hongo na rushwa au shortcut za maisha kama EPA, Richmond, etc, hao tulio wategemea nakuwaweka madarakani kulinda "maadili" ya kiTZ ndiyo wametufikisha hapa...halafu leo tunakaa tunasikitika hii picha...acheni unafiki bwana!!!!
Heshima Mbele,
Jana nilipata ujumbe wa simu toka kwa Mpwa wangu ambaye yuko chuo kikuu cha dar es salaa,Safari hii alikuwa akiniambia jambo la kusikitisha. Aliniandikia kuwa ile tovuti al maarufu ze utamu kuwa wamemtoa mhe rais kwa picha mbaya isiyo na heshima katika jamii, Na kwa haraka sana mie nilienda kuchungulia kujua nini kilichomo na kukuta mambo ya jabu na kinyume na maadili ya kitanzania.
Nilisikitika sana na kwa haraka zaidi nikawasiliana na mzee Mwanakijiji na Invisible kuonesha kusikitishwa kwangu kwa jambo hilo, Hata kama kuna sehemu mhe. Rais kashindwa siyo jambo zuri kufika hapa
Kumkosea heshima na kumdharirisha mhe rais mie naona ni utovu wa niahdnamu na kukosa maadili.
Nimefikira sana juu ya jambo hili na sas anaomba mnipe ushauri wa nini cha kufanya ili tuiomeshe tabia hii na ninavyoona naona hatuihitaji tovuti hii.No way!
Nampa pole Mheshimiwa Rais na Familia nzima ya mkuu wa nchi na naomba vyombo vya sheria vichukue jukumu lake kufuatilia ni nani alifanya jambo hilo!
It is so sad and am very angry about this
jukwa la dini limefungwa kwa kile ati kinachoitwa kashfa dhidi ya dini ya dini na lilikuwa private...picha za jukwaa lile zinadhalilisha utu wetu na ni kinyume na maadili....Hizo picha ziko wazi kw akila mtu au kwa wanaotaka?Je zinamdhalisha Mkuu wa Nchi?Je zinahusiana na mtu mwenye heshima na hazipatikani kokote?
Usilete voroja kwa utetezi wako wa kipuuzi!shame on you!
Na lingine, ina maana yale mapicha machafu ambayo yalikuwa yanatundikwa humu ndani ya jamiiforums pia ni maadili yetu ? au ndo tumeamua kukurupuka ili kuonekana na sisi tumo ? Acheni uzushi wazee ! Hata humu mapicha machafu yalikuwemo na sikusikia yoyote akilalamika, bali watu walikuwa wakijazana kana kwamba ni maadili mema!
JE MNALO HAPO ?
(Utetezi Kwa Wote)
hebu tuambie sheria ipi itamshitaki mwenye web ile na kwa kosa gani? watz bana msiongee ongee tu.....leo hii ndio mnaona iundwe tume kama tume zishaundwa hazina mafanikio....man njoo na plan bmkuu sheria zipo ila wafuatiliaji ndio hamna na watu wanasubiri iundwe tume ya kumtafuta zeutamu hakuna anaye jua majukumu yake mpaka kufuatana nyumanyuma. kwa hali hii tuna kazi haswa!
Uchunguzi wangu wa haraka haraka inanionesha huyu jamaa anayejiita zeutamu
anapatika USA, state ni texas na city ni Houston.
Host IP address ni: 174.132.156.66
IP postcode: 77002
IP address latitude: 29.7523
IP address longtude: -95.3670
Tafadahali ni vyema aache upuuzi na uchafu wake mara moja kwani tunaweza kuanika mpaka jina lake kamili, alisoma wapi na hata ikiwezekana picha zake pamoja na kwamba tulisoma computer migombani.
Huyu jamaa nimepata jina lake kamili, alisoma chuo gani na lini. Na kizuri zaidi nimepata mpaka picha yake. Sasa naomba aache upuuzi na uchafu wake mara moja kabla sijamweka hadharani hapa jf.