It is so sad and am very angry about this
Mwaka wa juzi ule sheikh wangu, na huko ndiko mimi nilipokuwa naelekea....utamu wametoa idea ya kumdhalilishwa Muungwana ktk website hii, kila linaloongewa hapa watu kujifanya wapo outraged na hii kitu ni uzandiki mtupu!!
MkuluWewe nae....
....siku hizi JF kuna vi thread vya ajabu ajabu vya kujikomba komba.....
......hebu tuletee kidhibitisho cha kuchafuliwa raisi
jamani tusifananishe picha hii na zile za kina nsia ni vitu viwili tofauti, picha hii ya jk imetengenezwa na zile za kina nsia ni picha halisi.kinachonisikitisha ni kwa baadhi ya watu wataoshindwa kutofautisha kati ya picha halisi na hizi za kutengeneza.
naomba wana JF tuungane kupingana na huyu mwendaazimu wa zeutamu.
wapi nimesema web ile inafaa?
nimesema watz wanafiki mnalia lia maadili wakati nyie ndio wa kwanza kukiuka....humu humu JF kuna mapicha machafu machafu yanayokiuka maadili mbona hamyasemi?
Wewe uliyeenda utamu na kuanza kuperuzi kule unawezaje kuja hapa ukumbini na kunadi maadili? Yeyote anayeingia ze utamu na kuja huku ukumbini na kulialia mimi binafsi simwelewi.
Mnatumalizia bandwidth tu...ala!
Picha zimetumwa kwenye e-,ail tangu jana na watu walioona tumezikuta asubuhi kwenye email address zetu
i understand UTAMU is a member of JF,what if all members in JF register our concerns by flooding his/her PM box of our displeasure at the current turn of events.
Mkulu
MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUTETEA HUU UDHALILISHAJI.
YEYETO ALIYEFANYA HILI HAJAMDHALILISHA RAIS TU,AMETUDHALILISHA WOTE KAMA TAIFA.
TUNALAANI.
SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE.
i understand UTAMU is a member of JF,what if all members in JF register our concerns by flooding his/her PM box of our displeasure at the current turn of events.
Email zipi hizo ambazo ni auto..mimi mbona sijaipata. Chapeni kazi wadanganyika acheni porojo.
How did you know that UTAMU is the member of JF? by not knowing his/her identity how possible can we address our concern to him/her? Just trying to think aloud!
Kwa mara ya kwanza umeongea point....ama kweli wabongo wameamka, maana naona mpaka wapemba nao wanaongea sense! LOL