Je, Rais aliyepo Madarakani anaweza kutoa Ushahidi Mahakamani?

Hapana hawezi kwenda mahakamani.

Ibara ya 46 (1) Rais akiwa madarakani hawezi kushtakiwa kwa kosa lolote la jinai.

Ibara ya 46 (2) Rais akiwa madarakani anaweza kushtakiwa kwa kesi ya madai kwa jambo atalolifanya akiwa katika hali ya kawaida (kama raia wa kawaida). Ila kuna utaratibu maalum wa kupeleka kesi ya madai dhidi yake.

Ibara ya 46 (3) Rais akiachia madaraka hatashitakiwa kwa jambo lolote lile ambalo alilifanya akiwa katika majukumu yake ya kazi.
Ayse,Kuna haja ya katiba mpya
 
Hapana hawezi kwenda mahakamani.

Ibara ya 46 (1) Rais akiwa madarakani hawezi kushtakiwa kwa kosa lolote la jinai.

Ibara ya 46 (2) Rais akiwa madarakani anaweza kushtakiwa kwa kesi ya madai kwa jambo atalolifanya akiwa katika hali ya kawaida (kama raia wa kawaida). Ila kuna utaratibu maalum wa kupeleka kesi ya madai dhidi yake.

Ibara ya 46 (3) Rais akiachia madaraka hatashitakiwa kwa jambo lolote lile ambalo alilifanya akiwa katika majukumu yake ya kazi.
Hazungumzii kushtakiwa bali kutoa ushahidi
 
Wakuu salaam.
Nimejaribu kutafuta Google ckupata majibu zaidi ya kushauliwa nisome katiba.

Hivi kwa wajuzi naomba msaada RAISI WA TANZANIA ALIYEPO MADARAKANI anaweza kutoa ushaidi Mahakamani?

Nakumbuka Raisi Mkapa aliwai kutoa ushahidi Kisutu kwenye kesi ya Prof Mahalu. Lakini alikuwa private citizen hakuwa madarakani.

Napiga picha mara vuuh Mbowe ana kesi ya kujibu, je mawakili wanaweza kuomba mahakama Summonce ya kumuita mama ajieleze alikuwa na maana gani alipoitangazia dunia kupitia BBC kuna akina Mbowe walikuwa wamehukumiwa kufungwa.

Msaada tafadhali.
Samia siyo Mbowe, anayeweza kwenda mahakamani ni watu kama Mbowe, mh rais ni level nyingine.
 
Hapana hawezi kwenda mahakamani.

Ibara ya 46 (1) Rais akiwa madarakani hawezi kushtakiwa kwa kosa lolote la jinai.

Ibara ya 46 (2) Rais akiwa madarakani anaweza kushtakiwa kwa kesi ya madai kwa jambo atalolifanya akiwa katika hali ya kawaida (kama raia wa kawaida). Ila kuna utaratibu maalum wa kupeleka kesi ya madai dhidi yake.

Ibara ya 46 (3) Rais akiachia madaraka hatashitakiwa kwa jambo lolote lile ambalo alilifanya akiwa katika majukumu yake ya kazi.
Mada ni kutoa ushahidi,huyu anazungumzia kushtakiwa. Shule mnasoma ujinga?
 
Bottom line is Rais akiwa madarakani hutokaa umuone pale kizimbani kwa status yeyote ile.

Shahidi, mshtaki au mshtakiwa.
Uliweka sheria ya kuzuia rais kushitakiwa.. ingependeza ungeweka pia sheria inayozuia rais kutoa ushahidi kizimbani ndani ya mahakama. Achana na hisia, weka uhalisia
 
Back
Top Bottom