Big Lady
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 546
- 75
Wakuu wa Jukwaa,
Heri ya Mwaka Mpya 2012.
Kuna Mwanaume ambaye ametokea kunipenda sana, nami nampenda sana ingawa hatujafikia hatua ya mahusiano ya kimwili. Napenda kumwita A.
Kinachonitatiza ni kuwa enzi za ujana wao, Baba yake A (Namwita B) na Mama yangu walizaa binti ambaye tumpe jina C. Sasa mimi na C tunashare Mama lakini Baba zetu tofauti. C ni dada yangu, yeye ni mkubwa mimi ni mdogo. Wazazi wangu wote walifariki. A na C hawajawahi kufahahamiana hadi walipokutana hivi karibuni na kutambulishwa na baba yake yaani B katika harusi ya Binti mwingine wa baba yake A (yaani baba B) ambaye alizaa na Mwanamke mwingine tena.
Kwa upande wa A, yaani Mwanaume tunayependana amelelewa na familia nyingine toka utotoni ambayo mama yake Mzazi na A aliolewa na Baba mwingine. A ana ndugu zake huko waliolelewa pamoja. Hii ndiyo familia yake ya sasa.
Sasa swali langu kwenu wana MMU, je mimi naweza kuolewa na Mwanaume huyu yaani A?
Naomba kuwakilisha.
Heri ya Mwaka Mpya 2012.
Kuna Mwanaume ambaye ametokea kunipenda sana, nami nampenda sana ingawa hatujafikia hatua ya mahusiano ya kimwili. Napenda kumwita A.
Kinachonitatiza ni kuwa enzi za ujana wao, Baba yake A (Namwita B) na Mama yangu walizaa binti ambaye tumpe jina C. Sasa mimi na C tunashare Mama lakini Baba zetu tofauti. C ni dada yangu, yeye ni mkubwa mimi ni mdogo. Wazazi wangu wote walifariki. A na C hawajawahi kufahahamiana hadi walipokutana hivi karibuni na kutambulishwa na baba yake yaani B katika harusi ya Binti mwingine wa baba yake A (yaani baba B) ambaye alizaa na Mwanamke mwingine tena.
Kwa upande wa A, yaani Mwanaume tunayependana amelelewa na familia nyingine toka utotoni ambayo mama yake Mzazi na A aliolewa na Baba mwingine. A ana ndugu zake huko waliolelewa pamoja. Hii ndiyo familia yake ya sasa.
Sasa swali langu kwenu wana MMU, je mimi naweza kuolewa na Mwanaume huyu yaani A?
Naomba kuwakilisha.