Je, niolewe naye? Baba yake alizaa na Mama yangu

sioni tatizo hapo
ili mradi muende kuolewa kidini

huo undugu wa kupitia 'alizaa na nani' si kitu

wewe hakikisha unaolewa kidini na waeleze mapema viongozi wa dini hofu yako....

binafsi sioni tatizo

Mashalaaaa! Asante kwa mwongozo. Je kuna issue kidini?

halafu ingawa wote ni Wakristu lakini tu madhehebu tofauti.
 
Nimekusoma Mkuu. Asante kwa ushauri. Na je haina mgogoro kidini au Kijamii?

Kidini siwezi nikasema lolote, labda umuone mchungaji/sheikh. Lakini kijamii inaweza ikaleta maneno ya hapa na pale, ila baada ya muda yataisha coz tumeona wabinamu wanaoana na mambo yanaenda poa tu.
 
Kama mwanaume akichukua ndugu yake wa kike iwe hivyo, ni kwamba anayeolewa ni ndugu wa kike wa mwanaume. Je, wewe si mtoto wa baba yake A? Baba yake A anakuitaje wewe?


Mimi si Mtoto wa baba yake A. Tafadhali soma vizuri post kuu.
 
Mashalaaaa! Asante kwa mwongozo. Je kuna issue kidini?

halafu ingawa wote ni Wakristu lakini tu madhehebu tofauti.

hebu fikiria kuwa ingekuwa ni siri huijui?ungefanyaje?ungeeolewa tu

so wapo wengi wanaolewa na ndugu zao bila kujua......

ndo maana dini inatambua 'mahusiano ya ndoa tu'

kama mama yako angeolewa ndoa rasmi na baba yake huyo kijana ingekuwa hadithi tofauti...

for now,wewe olewa tu..........
 
Kwa mfano wewe ungekuwa na kaka, ambaye labda mmezaliwa baba mmoja.. ungekubali amuoe C? ukipata jibu basi utajua decision gani ufanye..
 
Ni kweli kwa namna ulivyoeleza. Je hiyo ni sababu tosha ya kuzuia kuoana?

Unaweza usiione hiyo shida leo lkn ipo. Mdogo wako wa kike anakuwa wifi gafla na kaka yake wa damu anakuwa shemeji, mtoto mtakaye mzaa sijui atamwita shangazi au mama mdogo? Hapa kwa kweli........mashikholo magheni mayoh.
 
hebu fikiria kuwa ingekuwa ni siri huijui?ungefanyaje?ungeeolewa tu

so wapo wengi wanaolewa na ndugu zao bila kujua......

ndo maana dini inatambua 'mahusiano ya ndoa tu'

kama mama yako angeolewa ndoa rasmi na baba yake huyo kijana ingekuwa hadithi tofauti...

for now,wewe olewa tu..........


Asante Mwaya. Nimekuelewa.
 
Best sasa hizi mila nimuulize nani katika Mchanganyiko huo hata lugha moja siijui.

Huyu Mwanaume A, yeye yuko tayari kunioa ila naye anapenda tupate uhakika kama haitakuwa na shida baadaye.
Kwa stail hiyo msizidhulum nafsi zenu,
Mbona wao walichanganyana mpaka imefika mahali hata haieleweki nani ni nani mpaka wamepoteza na mila zenyewe,
Km wenyewe mnapendana hope na wao kwa walichkifanya watakubaliana nanyi,
Oaneni tu kwan mtakuwa mnaendeleza walichokianzisha wao!
 
Kidini siwezi nikasema lolote, labda umuone mchungaji/sheikh. Lakini kijamii inaweza ikaleta maneno ya hapa na pale, ila baada ya muda yataisha coz tumeona wabinamu wanaoana na mambo yanaenda poa tu.

Asante Mwaya. Nimekuelewa.
 
Kwa mfano wewe ungekuwa na kaka, ambaye labda mmezaliwa baba mmoja.. ungekubali amuoe C? ukipata jibu basi utajua decision gani ufanye..

na huyo kaka hakuwahi kuishi nae
amekutana nae ukubwani?
why not asimuoe c??????/
 
Mimi si Mtoto wa baba yake A. Tafadhali soma vizuri post kuu.

mama, nimekosoma vizuri sana. Najua una moja kati ya haya mawili mukichwa chako, ama umekwisha jiwekea msimamo wa kuolewa naye hapa unataka justification ama unatakakujua jambo kwa usahihi.

Naomba nikijibu kwa kukupa mfano mfano/ushauri huu, nenda kaolewe na mtoto wa baba yako mkubwa. Sababu za kukushauri hivyo ni kuwa huyo hamjashea naye baba wala mama. Sounds good?
 
Kwa mfano wewe ungekuwa na kaka, ambaye labda mmezaliwa baba mmoja.. ungekubali amuoe C? ukipata jibu basi utajua decision gani ufanye..


Ndo maana nimekuja kwa ushauri maana sina jibu. Wewe ungekubali? Kwa nini?
 
Olewa tu,
mimi ndiye baba yake na huyo aliyezaa na mama yako,
nimekuruhusu nenda sasa hivi usipoteze muda hapa,
 
Unaweza usiione hiyo shida leo lkn ipo. Mdogo wako wa kike anakuwa wifi gafla na kaka yake wa damu anakuwa shemeji, mtoto mtakaye mzaa sijui atamwita shangazi au mama mdogo? Hapa kwa kweli........mashikholo magheni mayoh.

Mmmh! Ipo kazi! Nimekusoma Kwa hiyo shida iko hapo?
 
Kwa stail hiyo msizidhulum nafsi zenu,
Mbona wao walichanganyana mpaka imefika mahali hata haieleweki nani ni nani mpaka wamepoteza na mila zenyewe,
Km wenyewe mnapendana hope na wao kwa walichkifanya watakubaliana nanyi,
Oaneni tu kwan mtakuwa mnaendeleza walichokianzisha wao!

Asante kwa ushauri shosti.
 
na huyo kaka hakuwahi kuishi nae
amekutana nae ukubwani?
why not asimuoe c??????/

Hapo sasa. Huyu A mimi siawahi ishi naye na wala sijawahi kumsikia. Tumeonana tu ukubwani kama miezi miwili iliyopita.
 
Back
Top Bottom