Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Ndoa Ndoano baba, yawezekana mengi uliyafumbia macho wakati wa uchumba wenu, sasa yanakuumiza, sasa mbona hii inaoneka kama ni story ya upande mmoja tu? wewe umemfanyia nini mwenza wako labda kuna kitu na yeye hakipendi, au ulimfanyia kitu kibaya, kuwa wazi mkuu