Yashanikuta mie kwa mademu wawili, mmoja wakati nimemaliza chuo natafuta kazi akafanya the same issue, ilinichanganya coz nilikuwa nimepanga nikipata kazi nianze mchakato wa ndoa, mungu akanisaidia nikamove on, akaja mwingine pasua kichwa, nikamlipia na ada ya chuo mzumbe maana mama yake alikosa pesa, akaja nikapigiwa simu na mtu akanambia the same story nikamtimua nae. Leo wote wanalalamika hawajapata mwanaume kama mie, kwa bahati nzuri mie nishaoa, nina kijana wa kiume though i cant say am happy with marriage but am satisfied.
Duuuu wewe kweli noma aiseee sio mchezo kumbe ndio hivyo kwa hiyo naona kama haya mambo yangekukuta usingelaza damu si ndo??
Mkuu wangu nashukuru sana kwa mawazo yako naona ni the same story,na jamaa alitumia tu kigezo cha kusema anamuowa ila siwezi juwa kwa kweli,na sikutaka kutafuta ugomvi kabisaaa zaidi ya kuongea kwa utaarabu zaidi,yeah mkuu me zaidi nawatakia maisha mema kama walivyopanga.
How is your baby boy mkuu,nifikishie salam zangu aisee
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mbona mi na wewe kila siku mapanga shaaa?
Mkuu ni hatari sana hawa watu asikuambie mtu kabisaaa, na omba hii kitu isikutokee kabisaaa....inauma sana. alafu bila aibu kabisa
Nashukuru sana kaka kwa ushauri wako mzuri na wa kutia moyo,ni kweli kabisa sielewi nini hasa kilikuwa kinaendelea I don't know serious,zaidi pamoja na hekima na vitu vyote nilivyofanya na kusema nafanya haya mambo coz nitakuwa nae for life then ndio nimeambulia haya yote,so zaidi me nawatakia mafanikio mema na yenye kheri, mkuu again thank u sana vile vile nikakaaa nikasema wanawake wapo wengi sana why niwe na kinyongo na mwanaume mwenzangu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Wakuu naomba msaada,maana leo nimepata drama ambayo sijawahi kuipata,nitaandika inshort tu,actual nilikuwa na mchumba niseme ambayo hivi mwezi wa saba narudi tuliplan maisha na kwenda kwa family,sasa kwa vile tupo mbali tukawa tunawasiliana sana na tukawa tuna share password zetu,basi ikafikia wakati nikaona mambo ya ajabu ajabu mara kachange password nikimuuliza hana sababu again ya kuniambia na attitude akawa anayo na dharau nyingi,hapo hapo tufahamu sijaanzana nae jana wala leo since nipo form 1 mda mrefu sana tupo wote.
Kama 2 months ilifikia akaniambia mimi na wewe basi eti nina wanawake wengi sana nikamuuliza ume prove ninao??akawa hana la kunijibu,nikamwambia ok fine hamna tatizo na maisha mema,sasa week kama 3 zilizopita akaja kuniomba msamaha na kusema nimsamehe me nikamuelewa nikamsamehe coz sikutaka relationship ife hivi hivi nikakaza moyo nikamsamehe.
Lakini tulivyokuwa tunawasiliana nikawa naona kuna somethin wrong sio normal nikamwambia akasema ananipenda sana hamna kitu. Na nimuamini nikamuuliza sasa mbona una tabia za ajabu ajabu anasema ndio nilivyo,basi me nikawa mpole sana na mvumilivu kwa kweli kwanza huwa sipendi kugombana kwa ajili ya vitu vidogo.
Sasa leo hii nimepigiwa simu mchana majira ya saa kumi namsikia mchumba wangu ananiambia kwamba ongea na bf wangu nikamuuliza unasemaje??na wewe ni nani??akanitajia jina lake coz sikuamini kama ni yeye,akasema ongea na bf wangu mwambie kwamba mimi na wewe tumeachana,me nilishasemaga sitokuja kugombana kisa mwanamke.akampa simu jamaaa akawa anawaka vibaya sana nikamwambia kaka calm down sawa wala usijali,akaniambia nimeona sehemu fulani umetumiana message za ajabu ajabu na huyo msichana wewe ni nani??Nikamjibu kwanza hajakuambia mimi ni nani??akasema wewe ndio niambie nikamwambia niulize swali lingine kipindi hicho kichwa hakifanyi kazi,akaniambia huyu ni gf wangu na next week naenda kutoa mahali kwao,nikasema ohhh ok sawa nikamuuliza umeanzana nae lini akasema miaka 2 iliyopita,me nikakauka kimya,akasema basi naomba mawasiliano yaishe na mke wangu nikamjibu wewe ni ndugu yangu na sisi wote ni wanaume so mkuu usijali zaidi tuzidi kuwasiliana sisi wote ni ndugu,nimemjibu kisomi na sikuonyesha kupanic,
Je wakuu wangu kuna mahali nimejibu vibaya??au yule alikuwa mchumba wangu kumbe mwanamke ana mwanaume mwingine kulikuwa na haja ya mimi kugombana na jamaa kwa ajili ya mwanamke??je majibu niliyomjibu kuepusha shari na kumuachia mwanamke nimefanya vizuri au nimekosea??
Kumbe na nyie wanaume hua yanawakuta enh?pole sana take heart and move on!
Umemjibu vizuri kabisa ila kuhusu kuwasiliana na jamaa yake huyo nahisi kama utaonekana kuna jambo bado unalitaka kwao we wapotezee tu mkuu... those r gals mapenzi ni huku mnaonana daily mkikaaa miaka no kuonana baaasiiiii mtakua kila siku mnagombana bila sababu.......... ila nakupongeza sana kwa kuongea na mtwasi kiutu uzima me ningekata simu yenyewe na kubadili line 4rever
nisingelaza damu, yaani wewe watu wengine kauzu kweli, hapo ningeuchuna angejifanya kurudi as if hakuna kitu kilichotokea, tena na malawana kibao
Mkuu Papizo pole sana kwa yaliyokukuta..I can imagine how you feel right now, be calm endelea na maisha yako vizuri.
Mie ilinikuta mpenzi wangu tuliyekuwa kwenye harakati za kuoana alinichenjia mbele ya mwanamke mwingine out of blue kwa ghadhabu za hali ya juu tena akitamka kitasha 'I don't love you, I love her and she's carrying my boy' . Niliduwaa kama shoti imenipiga, binti wa watu nikajikaza kisabuni. Halafu nilikuwa nchi ya watu, kila mtu mji wake na familia zetu zinafahamiana.
Mwanzo ilikuwa ngumu ila siku zilivyoenda uchungu ukapungua pole pole japo sitosahau...nilikaa mwaka na nusu bila relationship, nafurahi kuwa na mtu mwingine sasa hakika nashukuru kukutana na huyu kaka. I can't trade him for anything.
Ndiyo changamoto za mapenzi hizo mkuu!!