Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

Papizo

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
4,944
1,431
Wakuu naomba msaada,maana leo nimepata drama ambayo sijawahi kuipata,nitaandika inshort tu,actual nilikuwa na mchumba niseme ambayo hivi mwezi wa saba narudi tuliplan maisha na kwenda kwa family,sasa kwa vile tupo mbali tukawa tunawasiliana sana na tukawa tuna share password zetu,basi ikafikia wakati nikaona mambo ya ajabu ajabu mara kachange password nikimuuliza hana sababu again ya kuniambia na attitude akawa anayo na dharau nyingi,hapo hapo tufahamu sijaanzana nae jana wala leo since nipo form 1 mda mrefu sana tupo wote.
Kama 2 months ilifikia akaniambia mimi na wewe basi eti nina wanawake wengi sana nikamuuliza ume prove ninao??akawa hana la kunijibu,nikamwambia ok fine hamna tatizo na maisha mema,sasa week kama 3 zilizopita akaja kuniomba msamaha na kusema nimsamehe me nikamuelewa nikamsamehe coz sikutaka relationship ife hivi hivi nikakaza moyo nikamsamehe.

Lakini tulivyokuwa tunawasiliana nikawa naona kuna somethin wrong sio normal nikamwambia akasema ananipenda sana hamna kitu. Na nimuamini nikamuuliza sasa mbona una tabia za ajabu ajabu anasema ndio nilivyo,basi me nikawa mpole sana na mvumilivu kwa kweli kwanza huwa sipendi kugombana kwa ajili ya vitu vidogo.

Sasa leo hii nimepigiwa simu mchana majira ya saa kumi namsikia mchumba wangu ananiambia kwamba ongea na bf wangu nikamuuliza unasemaje??na wewe ni nani??akanitajia jina lake coz sikuamini kama ni yeye,akasema ongea na bf wangu mwambie kwamba mimi na wewe tumeachana,me nilishasemaga sitokuja kugombana kisa mwanamke.akampa simu jamaaa akawa anawaka vibaya sana nikamwambia kaka calm down sawa wala usijali,akaniambia nimeona sehemu fulani umetumiana message za ajabu ajabu na huyo msichana wewe ni nani??Nikamjibu kwanza hajakuambia mimi ni nani??akasema wewe ndio niambie nikamwambia niulize swali lingine kipindi hicho kichwa hakifanyi kazi,akaniambia huyu ni gf wangu na next week naenda kutoa mahali kwao,nikasema ohhh ok sawa nikamuuliza umeanzana nae lini akasema miaka 2 iliyopita,me nikakauka kimya,akasema basi naomba mawasiliano yaishe na mke wangu nikamjibu wewe ni ndugu yangu na sisi wote ni wanaume so mkuu usijali zaidi tuzidi kuwasiliana sisi wote ni ndugu,nimemjibu kisomi na sikuonyesha kupanic,

Je wakuu wangu kuna mahali nimejibu vibaya??au yule alikuwa mchumba wangu kumbe mwanamke ana mwanaume mwingine kulikuwa na haja ya mimi kugombana na jamaa kwa ajili ya mwanamke??je majibu niliyomjibu kuepusha shari na kumuachia mwanamke nimefanya vizuri au nimekosea??
 
Aisee pole sana na hongera kwa sio uvumilivu tu bali busara pia. U are true gentleman na Mungu akujalie mdada mzuri mwenye mapenzi na aliyetulia.

You did the right thing, she is not worthy ur povu wala energy. Good riddance na kwa huyo dada huyo kaka si mzuri looks wanagombana sana na ndio maana alikuwa anajirudi kwako mambo yanavyoharibika huko. She will never know real happiness!

Again pole na hongera!
 
pole, ndo drama za mapenzi.

Kuna mmoj alienda hospital kumsalimia, yule dada akamruka kama hamjui tena akisema 'hospital hii vichaa wao hawawafungii'
 
Eeh, pole Bro, wala siamini alichokufanyia,eeh, anatapikaga amasi nini mwenzetu, ndio maana anajiona wa maana sana, just mpuuze tu, usihangaike naye anataka kukucontrol kama simu yake ya mkononi huyo, ukimbabaikia atajiona keki sana, mpotezee, asikufanye mjinga na *****, usijiumize zaidi kwake, usije ukampa na password na kadi ya ATM bure!
Wakuu naomba msaada,maana leo nimepata drama ambayo sijawahi kuipata,nitaandika inshort tu,actual nilikuwa na mchumba niseme ambayo hivi mwezi wa saba narudi tuliplan maisha na kwenda kwa family,sasa kwa vile tupo mbali tukawa tunawasiliana sana na tukawa tuna share password zetu,basi ikafikia wakati nikaona mambo ya ajabu ajabu mara kachange password nikimuuliza hana sababu again ya kuniambia na attitude akawa anayo na dharau nyingi,hapo hapo tufahamu sijaanzana nae jana wala leo since nipo form 1 mda mrefu sana tupo wote.
Kama 2 months ilifikia akaniambia mimi na wewe basi eti nina wanawake wengi sana nikamuuliza ume prove ninao??akawa hana la kunijibu,nikamwambia ok fine hamna tatizo na maisha mema,sasa week kama 3 zilizopita akaja kuniomba msamaha na kusema nimsamehe me nikamuelewa nikamsamehe coz sikutaka relationship ife hivi hivi nikakaza moyo nikamsamehe.

Lakini tulivyokuwa tunawasiliana nikawa naona kuna somethin wrong sio normal nikamwambia akasema ananipenda sana hamna kitu. Na nimuamini nikamuuliza sasa mbona una tabia za ajabu ajabu anasema ndio nilivyo,basi me nikawa mpole sana na mvumilivu kwa kweli kwanza huwa sipendi kugombana kwa ajili ya vitu vidogo.

Sasa leo hii nimepigiwa simu mchana majira ya saa kumi namsikia mchumba wangu ananiambia kwamba ongea na bf wangu nikamuuliza unasemaje??na wewe ni nani??akanitajia jina lake coz sikuamini kama ni yeye,akasema ongea na bf wangu mwambie kwamba mimi na wewe tumeachana,me nilishasemaga sitokuja kugombana kisa mwanamke.akampa simu jamaaa akawa anawaka vibaya sana nikamwambia kaka calm down sawa wala usijali,akaniambia nimeona sehemu fulani umetumiana message za ajabu ajabu na huyo msichana wewe ni nani??Nikamjibu kwanza hajakuambia mimi ni nani??akasema wewe ndio niambie nikamwambia niulize swali lingine kipindi hicho kichwa hakifanyi kazi,akaniambia huyu ni gf wangu na next week naenda kutoa mahali kwao,nikasema ohhh ok sawa nikamuuliza umeanzana nae lini akasema miaka 2 iliyopita,me nikakauka kimya,akasema basi naomba mawasiliano yaishe na mke wangu nikamjibu wewe ni ndugu yangu na sisi wote ni wanaume so mkuu usijali zaidi tuzidi kuwasiliana sisi wote ni ndugu,nimemjibu kisomi na sikuonyesha kupanic,

Je wakuu wangu kuna mahali nimejibu vibaya??au yule alikuwa mchumba wangu kumbe mwanamke ana mwanaume mwingine kulikuwa na haja ya mimi kugombana na jamaa kwa ajili ya mwanamke??je majibu niliyomjibu kuepusha shari na kumuachia mwanamke nimefanya vizuri au nimekosea??
 
I mean almasi
Eeh, pole Bro, wala siamini alichokufanyia,eeh, anatapikaga amasi nini mwenzetu, ndio maana anajiona wa maana sana, just mpuuze tu, usihangaike naye anataka kukucontrol kama simu yake ya mkononi huyo, ukimbabaikia atajiona keki sana, mpotezee, asikufanye mjinga na *****, usijiumize zaidi kwake, usije ukampa na password na kadi ya ATM bure!
 
Pole sana kwa mkasa huu ambao ni lazima utakuwa umekuathiri sana. Sioni mahala ulipojibu vibaya ulikuwa mstaarabu kupita kiasi. Mie nsingeweza kabisa kuwa mstaarabu kiasi hicho kusema kweli lazima ningemjibu hovyo kwa sababu hukuwa na kosa lolote lile la jamaa kukuwakia kiasi hicho. Pole sana.
 
Huo ndio uanaume. I have the same story as yours. Mie nikaachana naye, baadaye na mtu wake wakashindwa kuoana. Mie kwa bahati nzuri nilibahatika kuoa na jana tuu tumepata first born baby boy na tunafurahia maisha. Yule binti mpaka sasa bado hajaolewa na baadaye alikuja kuniambia kuwa anajutia maana anaona kabisa ndani ya nafsi yake kuwa mimi ndo mumewe, mimi nikamwambia alichezea shiling kwenye shimo la choo-ikadumbuki ndani. All in all huwezi jua Mungu amekupangia nini, be calm and confident. Mungu atakupa mke mwema na utayafurahia maisha. Mungu akusaidie na kukuongoza.
 
Papizo, wewe ni bonge la Gentleman na msomi. Hongera kwa hiyo, umemjibu vizuri na kiungwana.
Pia pole kwa huo mkasa, usijali Sir God ana mipango mizuri zaidi kwako, utampata mdada mzuri na muaminifu zaidi ya huyo.
 
Last edited by a moderator:
Nimependa spirit yako ya kutogombea demu, safi sana wee kama mie aisee. Just stay calm na cha msingi tafta ela kwanza utawakamua wengi tu na watakuja wenyewe. Hamna haja ya ku-think twice for a friggin chick.
 
.....papizo pole sana. Shukuru mungu sana, sana, sana kwa hayo yaliyokutokea. Mw'mungu amekuumbulia mnafiki, na sasa umejua rasmi haktwa mkweli kwako.

Niliwahi pata a similar experience 2002....na nakumbuka nilipigiwa simu na kuambiwa 'huyu mimi ni gf wangu, nataka kumuoa'....nami nikamuuliza fiancee wangu, aamue....(akanichagua mimi!)...

Kilichofuatia miaka katika miaka tisa ya mahusiano-saba ya ndoa....ni aheri ningemuachia jamaa hilo zigo. DONT YOU DARE ati kesho au keshokutwa akikurudia na kilio cha msamaha nawe ukakubali kumsamehe. USITHUBUTU kurudiana nae hata kama unampenda vipi!!!! Pse bro...
 
nakupongeza kwa kuwa busara ilitawala ktk mazungumzo yako na bf wa gf wako.nakupa pole lakini ni nafasi nzuri kujifunza,daima mtu mwaminifu na mdhati hupewa anachostahili i mean usijilaumu kwa kumpoteza mpz wako ni kwamba umeepushwa na dhahama,kuwa mpole kaka utampata mwenye busara kama zako na mtulivu wa kweli.usithubutu kumrudia huyo anaye kuchezea mind yako.aweza pata ya kumpata atarudi tena kwako coz anajua utamsamehe.stay away with her upate maisha marefu na be patient bro.
 
aisee inasikitisha sana,upoamua kumpenda mt halifu unaambulia maumivu,huyo dem hana uhakika na anachokitaka but atajuta
 
aisee inasikitisha sana,upoamua kumpenda mt halfu unaambulia maumivu,huyo dem hana uhakika na anachokitaka but atajuta.
 
Hongera sana kaka, Usiwe na shaka utapata mrembo mwingine. Kilichobaki ni kusonga mbele, na usimuweke kinyongo ex wako, Huyo ipo siku atakuja kukuomba tena msamaha. Jiandae.

Pole sana.


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Big up! Umemjibu vyema kabisa...Inaumiza kusalitiwa hivyo lakini mwenyewe umeona she is not worth of even a bit your worry or love!
Yani she is so low! Hajiamini na anarun parallel relationships, akiumia huku anahamia huku. Well waswahili walisema mshika mawili moja humponyoka na wewe ndo ushamponyoka...Ila huwezi jua kama alikuwa na nyinyi wawili tu ama kuna suprise nyingine.
A real man is worth a real woman period! hao fake waache waendelee, they deserve each other mwanaume gani unaenda kugombana na mwanaume mwenzio kisa a woman? wakati ni wazi mwanamke anayestahili kupiganiwa sababu haitokua because she has another man!
Beat Down!

 
Huo ndio uanaume. I have the same story as yours. Mie nikaachana naye, baadaye na mtu wake wakashindwa kuoana. Mie kwa bahati nzuri nilibahatika kuoa na jana tuu tumepata first born baby boy na tunafurahia maisha. Yule binti mpaka sasa bado hajaolewa na baadaye alikuja kuniambia kuwa anajutia maana anaona kabisa ndani ya nafsi yake kuwa mimi ndo mumewe, mimi nikamwambia alichezea shiling kwenye shimo la choo-ikadumbuki ndani. All in all huwezi jua Mungu amekupangia nini, be calm and confident. Mungu atakupa mke mwema na utayafurahia maisha. Mungu akusaidie na kukuongoza.
Wanawake bana,simalizagi kuwashangaa,hata uwafanyie nini wakitaka kukufanza watakufanza tu.
 
Big up! Umemjibu vyema kabisa...Inaumiza kusalitiwa hivyo lakini mwenyewe umeona she is not worth of even a bit your worry or love!
Yani she is so low! Hajiamini na anarun parallel relationships, akiumia huku anahamia huku. Well waswahili walisema mshika mawili moja humponyoka na wewe ndo ushamponyoka...Ila huwezi jua kama alikuwa na nyinyi wawili tu ama kuna suprise nyingine.
A real man is worth a real woman period! hao fake waache waendelee, they deserve each other mwanaume gani unaenda kugombana na mwanaume mwenzio kisa a woman? wakati ni wazi mwanamke anayestahili kupiganiwa sababu haitokua because she has another man!
Beat Down!

Mbona mi na wewe kila siku mapanga shaaa?
 
pole sana mkuu,kumbuka kila kitu hutokea kwa sababu. hyo hakuwa wako,wako yupo ushapangiwa na Mungu!
 
Wewe ulimpataje wengine washindwe? siku zote huwa nauliza hili swali.

Hakuna mapenzi ya kusasambuliana bila kuoana.

Kapime na UKIMWI maana kama ulikuwa unaingiliana nae na hamjaoana na ana mwanamme mwingine kwa miaka miwili, kuna uwezekanao mkubwa ana wengine pia. Nyie ndio mnaosambaza hii miwaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom