Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Wakuu naomba msaada,maana leo nimepata drama ambayo sijawahi kuipata,nitaandika inshort tu,actual nilikuwa na mchumba niseme ambayo hivi mwezi wa saba narudi tuliplan maisha na kwenda kwa family,sasa kwa vile tupo mbali tukawa tunawasiliana sana na tukawa tuna share password zetu,basi ikafikia wakati nikaona mambo ya ajabu ajabu mara kachange password nikimuuliza hana sababu again ya kuniambia na attitude akawa anayo na dharau nyingi,hapo hapo tufahamu sijaanzana nae jana wala leo since nipo form 1 mda mrefu sana tupo wote.
Kama 2 months ilifikia akaniambia mimi na wewe basi eti nina wanawake wengi sana nikamuuliza ume prove ninao??akawa hana la kunijibu,nikamwambia ok fine hamna tatizo na maisha mema,sasa week kama 3 zilizopita akaja kuniomba msamaha na kusema nimsamehe me nikamuelewa nikamsamehe coz sikutaka relationship ife hivi hivi nikakaza moyo nikamsamehe.
Lakini tulivyokuwa tunawasiliana nikawa naona kuna somethin wrong sio normal nikamwambia akasema ananipenda sana hamna kitu. Na nimuamini nikamuuliza sasa mbona una tabia za ajabu ajabu anasema ndio nilivyo,basi me nikawa mpole sana na mvumilivu kwa kweli kwanza huwa sipendi kugombana kwa ajili ya vitu vidogo.
Sasa leo hii nimepigiwa simu mchana majira ya saa kumi namsikia mchumba wangu ananiambia kwamba ongea na bf wangu nikamuuliza unasemaje??na wewe ni nani??akanitajia jina lake coz sikuamini kama ni yeye,akasema ongea na bf wangu mwambie kwamba mimi na wewe tumeachana,me nilishasemaga sitokuja kugombana kisa mwanamke.akampa simu jamaaa akawa anawaka vibaya sana nikamwambia kaka calm down sawa wala usijali,akaniambia nimeona sehemu fulani umetumiana message za ajabu ajabu na huyo msichana wewe ni nani??Nikamjibu kwanza hajakuambia mimi ni nani??akasema wewe ndio niambie nikamwambia niulize swali lingine kipindi hicho kichwa hakifanyi kazi,akaniambia huyu ni gf wangu na next week naenda kutoa mahali kwao,nikasema ohhh ok sawa nikamuuliza umeanzana nae lini akasema miaka 2 iliyopita,me nikakauka kimya,akasema basi naomba mawasiliano yaishe na mke wangu nikamjibu wewe ni ndugu yangu na sisi wote ni wanaume so mkuu usijali zaidi tuzidi kuwasiliana sisi wote ni ndugu,nimemjibu kisomi na sikuonyesha kupanic,
Je wakuu wangu kuna mahali nimejibu vibaya??au yule alikuwa mchumba wangu kumbe mwanamke ana mwanaume mwingine kulikuwa na haja ya mimi kugombana na jamaa kwa ajili ya mwanamke??je majibu niliyomjibu kuepusha shari na kumuachia mwanamke nimefanya vizuri au nimekosea??
Kama 2 months ilifikia akaniambia mimi na wewe basi eti nina wanawake wengi sana nikamuuliza ume prove ninao??akawa hana la kunijibu,nikamwambia ok fine hamna tatizo na maisha mema,sasa week kama 3 zilizopita akaja kuniomba msamaha na kusema nimsamehe me nikamuelewa nikamsamehe coz sikutaka relationship ife hivi hivi nikakaza moyo nikamsamehe.
Lakini tulivyokuwa tunawasiliana nikawa naona kuna somethin wrong sio normal nikamwambia akasema ananipenda sana hamna kitu. Na nimuamini nikamuuliza sasa mbona una tabia za ajabu ajabu anasema ndio nilivyo,basi me nikawa mpole sana na mvumilivu kwa kweli kwanza huwa sipendi kugombana kwa ajili ya vitu vidogo.
Sasa leo hii nimepigiwa simu mchana majira ya saa kumi namsikia mchumba wangu ananiambia kwamba ongea na bf wangu nikamuuliza unasemaje??na wewe ni nani??akanitajia jina lake coz sikuamini kama ni yeye,akasema ongea na bf wangu mwambie kwamba mimi na wewe tumeachana,me nilishasemaga sitokuja kugombana kisa mwanamke.akampa simu jamaaa akawa anawaka vibaya sana nikamwambia kaka calm down sawa wala usijali,akaniambia nimeona sehemu fulani umetumiana message za ajabu ajabu na huyo msichana wewe ni nani??Nikamjibu kwanza hajakuambia mimi ni nani??akasema wewe ndio niambie nikamwambia niulize swali lingine kipindi hicho kichwa hakifanyi kazi,akaniambia huyu ni gf wangu na next week naenda kutoa mahali kwao,nikasema ohhh ok sawa nikamuuliza umeanzana nae lini akasema miaka 2 iliyopita,me nikakauka kimya,akasema basi naomba mawasiliano yaishe na mke wangu nikamjibu wewe ni ndugu yangu na sisi wote ni wanaume so mkuu usijali zaidi tuzidi kuwasiliana sisi wote ni ndugu,nimemjibu kisomi na sikuonyesha kupanic,
Je wakuu wangu kuna mahali nimejibu vibaya??au yule alikuwa mchumba wangu kumbe mwanamke ana mwanaume mwingine kulikuwa na haja ya mimi kugombana na jamaa kwa ajili ya mwanamke??je majibu niliyomjibu kuepusha shari na kumuachia mwanamke nimefanya vizuri au nimekosea??