Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
UMEGEUKA TENA KUNIONEA HURUMA TENA HAWA WATU WAPO SANA KAKA ,UNAWEZA UKAWA UNALALAMIKA NAUMWA SASA NAUMWA KWELI KWELI UKAENDA PALE OCEAN ROAD UKAWAANGALIA WAGONJWA UNAWEZA UKAPONA KABLA YAKUMUONA DOCTA ,usijali haya mambo yapo ili dunia izunguke kwenye mhimili wake kwa siku 365.25na ili itokee usiku na mchana.Nashukuru sana kwa mawazo yako mazuri nimefurahi sana, na vile vile nimeshafanya kama ulivyosema toka jana muda ule ule nilifanya, nashukuru sana, pia alitumia simu ya jamaa yeye ndio alianza kuonea then ndio akampa huyo jamaa mwenyewe, ndio maana sikuamini kabisaa ikafikia nikamuuliza jina lako nani maana nilishasikia sauti yake na jinsi alivyoniambia nikawa shocked,Daaaa na wewe pole sana tena sana kwa yaliyokukuta kwa kweli ni mwenyezi mungu ametuepusha na mengi plus nadhani hawajui nini wanataka ndio maana. Daaa pole sana kwa kweli.....