Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,735
- 6,796
Hii kitu inanishangaza sana, nipo mkoa X ambapo ndipo makazi yakudumu yalipo ila sikai sana sababu ya kazi zangu, lakini ninakutana na mambo ambayo nadhan yanasababishwa na mabadiliko ya tabia ya nchi au sijui ni hormonal imbalance kwa wadada.
Nilipoingia huu mkoa wiki 2 zimepita nilienda kiwanja nikakutana na watoto wakali sana nikavuta mmoja, tukanywa, tukaelewana, tukatoka.
Sasa ile nipo nae room baada ya kutoa nguo, juu alikua amevaa nguo fln hivi ni transparent ila nyeusi na ndefu hivo inafunika mikono. Si kumshika nikahisi nywelenywele, kuangalia naona ana vijinyweleo kama mwanaume, japo sio vingi ila vilikuwepo na vikanikera sana, game nzima sikuenjou.
Baadae nikadhan labda aliahawai kuumwa mikono akawekewa zile chokaa za kusupport(mitaani wanaita mihogo) sababu huwa zinasababisha vinyweleo kuota, lakini sasa ndio mikono yote? Basi nikapotezea asubuhi yake nikamlipa akaondoka.
Juzi tena imetokea kwa binti mwingine, ni mzuri kweli kweli, maji ya kunde, ila mikononi sasa naona vinyweleo, na huwa naviona nikiwa room.
Haya mambo sijawahi kuyaona dsm, labda sababu nikiwa dar viwanja vyangu ni Samaki samaki, havoc, and the likes....
Kuna shida gani huko mikoani? Au ni kawaida sikuhizi?
Nilipoingia huu mkoa wiki 2 zimepita nilienda kiwanja nikakutana na watoto wakali sana nikavuta mmoja, tukanywa, tukaelewana, tukatoka.
Sasa ile nipo nae room baada ya kutoa nguo, juu alikua amevaa nguo fln hivi ni transparent ila nyeusi na ndefu hivo inafunika mikono. Si kumshika nikahisi nywelenywele, kuangalia naona ana vijinyweleo kama mwanaume, japo sio vingi ila vilikuwepo na vikanikera sana, game nzima sikuenjou.
Baadae nikadhan labda aliahawai kuumwa mikono akawekewa zile chokaa za kusupport(mitaani wanaita mihogo) sababu huwa zinasababisha vinyweleo kuota, lakini sasa ndio mikono yote? Basi nikapotezea asubuhi yake nikamlipa akaondoka.
Juzi tena imetokea kwa binti mwingine, ni mzuri kweli kweli, maji ya kunde, ila mikononi sasa naona vinyweleo, na huwa naviona nikiwa room.
Haya mambo sijawahi kuyaona dsm, labda sababu nikiwa dar viwanja vyangu ni Samaki samaki, havoc, and the likes....
Kuna shida gani huko mikoani? Au ni kawaida sikuhizi?