MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
khaaa embu usinichokonoe
hahahahahaaa, afadhali umeona, maana hadi key board ilishituka.
khaaa embu usinichokonoe
hahahahahaaa, aadhali umeona, maana hadi key board ilishituka.
mmmhhh
sia la kusema ni jumamosi usiku
na dhani kinaeleweka..
na hapo kwenye red??
na we jmosi umekukolea nini hahah lol
mmmhhh
sia la kusema ni jumamosi usiku
na dhani kinaeleweka..
na hapo kwenye red??
na we jmosi umekukolea nini hahah lol
Na hapo, nadhani bado jumamosi usiku.
Nilikuwa nawahi kumtoroka mwajiri. Ona sasa kanikamata ofisini.
hahahah lol
kimekula kwako..
mwambie karibu najifugua ni emergency....hahahahah lol
Sitasoma neno kwa neno tena, maana hapo kwenye red pameniacha tena.
mmmhhh
tatizo we waingia ndani sana
soma juu juu tu yatosha mmhh
b
but nimeona mfano majina ya ally wengi ni masharobaro mno..
michael wengi wao wana uwezo wa ku lead wengine
khadija wachangamfu sana
mariam wapole kiasi na wana upendo kwa watu..
leyla wanapenda sex sana
anna hawajatulia kabisa
wengi wenye majina ya leila wana sura nzuri,huwa ni wazuri hasaAhsante kwa huu mchanganuo kiongozi,
Naona kama 90% ni mule mule,
Natamani kupata GF mwenye jina la Leyla,
Kwenye mzunguko wangu wa maisha wamekuwa adimu sana.
Mhhh Mariam, alikuwaga shemeji yangu.... alikuwa mtata sana
Akina Lyla dakika tano mbele,isipokuwa wa hapa JF.Most of Leyla kweli wapole, ila ndo wapole kila secta - yeye ni wife material ambae huumizi kichwa hata watu wabaya kuchakachua. Kuhusu wao kupenda sex ndo naskia leo kwa The Boss, nafikiri alimbahatisha mmoja.
khaaa embu usinichokonoe
na sisi wenye majina ya kinyumbani mmmhh
sio kweli akina neema hatuko wagumu kihivyo...
si kweli pia tuko successful....mfano ni mimi mwenyewe lol:frusty: