Je, ni ipi sababu ya DAWASA ya kukosekana kwa maji?

Hakuna maji maji hayaelekei kwenye vyanzo vya kusambaza maji kwa hio inaonekana kumpelekea ukame sababu mvua zimaacha kunyesha mabadiriko tabia Nchi
 
ndugu zangu,
hizi mvua zinanyesha mpaka mafuriko, ila maji hayatoki kwenye mabomba je na DAWASA kuna mgao? sababu ni nini?

hivi kweli hakuna kiongozi wa kusimamia haya mambo? umeme shida maji shida huku mvua zanyesha hadi zasababisha maafa?
Nchi imekosa Sauti, kila mmoja ni kambale ndiyo matokeo yake. Maji hayatoki waweza kuta wenye Water Bozza wamechanga mzigo kuwapa Vijana waweke kauzibe ili wauze maji wao.

Yale yale ya kufungulia maji Mtera ili umeme ukosekane. Kipindi cha Mgao wa Umeme Wafanyakazi wa TANESCO walioko Switch Room usiku mmoja kumfungulia Mhindi apate Umeme line yake afanyekazi about 2-5M! How many wahindiz are doing that! Stuka. NCHI ya NNTU ya dili kwa sasa Mkuu.
 
ndugu zangu,
hizi mvua zinanyesha mpaka mafuriko, ila maji hayatoki kwenye mabomba je na DAWASA kuna mgao? sababu ni nini?

hivi kweli hakuna kiongozi wa kusimamia haya mambo? umeme shida maji shida huku mvua zanyesha hadi zasababisha maafa?
Mvua imeharibu miundombinu chini ya ardhi.

Hatukosi sababu sheikh
 
Ila lakini na wewe ndugu unalalamika na huku mvua inanyesha maji yanairirika usiku kucha unayashangaa tu. Ama kweli mazoea yana tabu 🐒
 
ila lakini na wewe ndugu unalalamika na huku mvua inanyesha maji yanairirika usiku kucha unayashangaa tu ....

ama kweli mazoea yana tabu 🐒
Ivi unajua km asilimia kubwa ya maji ya mvua hasa mjini sio salama?

Af argument yako ni baseless, retarded
 
Ivi unajua km asilimia kubwa ya maji ya mvua hasa mjini sio salama?

Af argument yako ni baseless, retarded
umejuaje hiyo asilimia kubwa.

kama ni baseless, retarded unakaa kimya unapuuza unasonga.

lakin mpaka umefyume ujue ni energy vimpire hiyo.

kwahiyo hayo unayolalamikia ndio salama ua ni mazoea tu kama kawaida
 
Back
Top Bottom