Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Heshima kwenu watalaamu wa jukwaa hili,
Nina Budget ya 800K ninahitaji laptop. Majukumu maalum ni kama Kutumia Softwares kama AUTOCAD, CIVIL 3D, STAAD PRO, MATLAB na program baadhi za Engineering ambazo sijazitaja.
Nahitaji laptop bora kwa hio gharama kikubwa iweze kurun hizo programs smoothly.
Pia kukiwa na machine bora ila bei imezidi slightly unaweza ku suggest.
Ningefurahi zaidi kupata na specifications na aina ya mashine ili niiweke katika shortlist.
Cc: Chief-Mkwawa Behaviourist Extrovert
Nina Budget ya 800K ninahitaji laptop. Majukumu maalum ni kama Kutumia Softwares kama AUTOCAD, CIVIL 3D, STAAD PRO, MATLAB na program baadhi za Engineering ambazo sijazitaja.
Nahitaji laptop bora kwa hio gharama kikubwa iweze kurun hizo programs smoothly.
Pia kukiwa na machine bora ila bei imezidi slightly unaweza ku suggest.
Ningefurahi zaidi kupata na specifications na aina ya mashine ili niiweke katika shortlist.
Cc: Chief-Mkwawa Behaviourist Extrovert