edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,879
- 9,678
Umesahau awamu ya piliWell, nijuavyo mimi Capitalism na na Christianity 1-1, Christianity ndio baba wa Capitalism au kwa maneno mengine Christianity imeanzisha Capitalism au free market economy inayotawala Dunia ya leo.
Pia usisahahu corruption kubwa nchini mwetu imetokea wakati wa Awamu ya 4 na sasa hivi na hawa wote wawili have one thing in common, Islam.
Hii nchi haijawahi kuwa mismanaged kama sasa hivi na Awamu ya 4, …