Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,498
- 10,541
Paskali umepatwa na nini?
Nafikiri ndivyo alivyo.Paskali umepatwa na nini?
Hebu ziangalie nchi kama Saudi Arabia,United Arab Emirates,Kuwait,Oman,Qatar na Bahrain,angalia uchumi wao na utajiri wao,halafu jiangalie wewe unayejisifia una elimu na una andika toka kushoto kwenda kulia.mtoto alikuwa akienda madrasa anfundiswa kuandika kuanzia kulia kuja kushoto akienda shuleni anafundishwa kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto
Kazi ikawa ngumu kwa mwalimu kumtia stick mtoto maana anachanganyikiwa
Pia jamii hizo ndio zilizoshika uchumi hata huku kwetu kwani hao aliowaita direct to University wengi wanategemea ajira na sio IQ kutengeneza fursaHebu ziangalie nchi kama Saudi Arabia,United Arab Emirates,Kuwait,Oman,Qatar na Bahrain,angalia uchumi wao na utajiri wao,halafu jiangalie wewe unayejisifia una elimu na una andika toka kushoto kwenda kulia.
Bora Samia kuliko yule shetani muuajiUkweli ni kwamba raisi aliyeko hafai kuongoza hili taifa Pascal Mayalla
Huyo namba 5 alikuwa anasaidiwa na uwezo wake wa kukesha na kukariri hasa kuelekea mitihani yake ya mwisho
What is your take on this? Why think about this? Ultimately what do you think you intend to achieve and for whose interests? Seems explosive and inflammatory, my opinion anyway, decisive prone issues are no entry zoneWanabodi,
Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors.
Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina.
Tanzania tumebahatika kuwa na marais 6.
Dini Zao
- Julius Kambarage Nyerere
- Ali Hassan Mwinyi
- Benjamin William Mkapa
- Jakaya Mrisho Kikwete
- John Pombe Magufuli
- Samia Suluhu Hassan
Hapa kwenye Dini zao, naona kama kuna kupokezana kati ya Mkiristu na Muislamu, jee is it planned au imetokea tuu?. Kama ni planned, then anayefuata ni lazima atoke upande wa pili. If it just happened, then anaweza kufuatiwa na wa kutoka upande wowote.
- Mkiristu
- Kiislamu
- Mkiristu
- Muislamu
- Mkiristu
- Muislamu
Denominations zao
Kwa Wakristu, rais akiwa Mkiristu je ni lazima awe RC?. Kwanini wote walioshika urais ni RC only?. Is this planned or it just happened?.
- Mkiristu RC
- Muislamu
- Mkiristu RC
- Muislamu
- Mkiristu RC
- Muislamu
If it's planned ni nani anayepanga?. Hivi Wakristu wa dominions nyingine kama Lutherans, Anglicans, Wasabato, Walokole etc hawawezi?.
Kwa Waislamu, Tanzania tuna Sunni, Issmailia Ahamadia, wale Mabohora, jee nao kuna siku watapata zamu?.
Uhai wao
Jee kuna uhusiano wa dini fulani na longevity?. Kwanini ni marais wa dini moja tuu ndio wametangulia, lakini wa dini nyingine wote wapo?.
- Amekufa
- Yuko Hai
- Amekufa
- Yuko Hai
- Amekufa
- Yuko Hai
Elimu Zao
Jee kuna uhusiano wa IQ na dini ya mtu?.
- Straight to University Masters Level
- Aliunga Unga ila alipata Masters
- Straight to University Masters Level
- Aliunga Unga Ila alipata Bachelor ya GPA flani
- Straight to University Ph.D iliotiliwa shaka humu JF, (mtia shaka just vanished into thin air)
- Aliunga Unga to Masters
Kwa nini watu wa dini fulani shule imesimama, halafu wa dini nyingine ni shule za kuunga Unga?.
Matumizi ya Busara
Kwanini watu wa dini fulani ndio wanaonekana na busara zaidi kuliko wa dini nyingine?. Jee kuna uhusiano wa dini ya mtu na busara?
- Busara Sana
- Busara Sana na ustaatarabu
- Hakuna Busara Ila Ustaatabu
- Muungawana, Busara, Ustaarabu
- Hakuna Busara, Uungwana wala Ustaarabu
- Busara, Uungwana, Ustaarabu Ila na Mipasho!.
Dhana ya Udikiteta
Viongozi wetu madikiteta au wenye udikiteta ni wa dini fulani tuu!. Jee kuna uhusiano wa dini na udikiteta?.
- Dikiteta
- Hakuwa Dikiteta
- Dikiteta
- Hakuwa Dikiteta
- Dikiteta
- Sio Dikiteta
NB. Ni wakati naliandika bandiko hili ndio nikaisikia hii sauti
PaskaliVoices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
Wanabodi Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho. Hii ni thread ya maono tuu ya unabii, sio utabiri, sio trends readings, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba...www.jamiiforums.com
Kuzidiwa umaarufu si kutokuwa bora, everything can be put sarcastically and for jokes but not all the time and everywhere and for everyonekwa mwandishi mzee mzima, kutumia maneno 'aliunga unga' ni dharau na chuki za wazi kwa wahusika. Nilifikiri uzee ni dawa kumbe loh! Nashukuru mchango #15 umeongea kitu cha msingi sana na kwa heshima. Majibu yapo pale na sidhani km mleta mada alikuwa hawezi kufika huko katika kufikiri kutokana na umri na uzoefu wake ila ndo kwa vile ana lake jambo dhidi ya hii jamii aichukiao.
Halafu, sijui nina mawazo mfu, napata wapi ujasiri wa kuponda elimu ya mtu ikiwa mtu huyo ametumia hiyo elimu yake 'inayoitwa ya kuungaunga' kunizidi kila kitu?!!!!!! Fedha, umaarufu, madaraka, malezi bora ya kifamilia n.k vyote kanizidi. Mimi 'mwenye iq' iliyoshiba haikuweza kuonekana hata kwenye maoni ya ubunge tu. Sasa naongea nn?!!!! Kwani elimu na matarajio yake ni nn haswa?!!!!!
Shaabash!!!
Well nakuliiza swali jepesi sana: Nini kinamfanya binadamu awe binadamu?mtoto alikuwa akienda madrasa anfundiswa kuandika kuanzia kulia kuja kushoto akienda shuleni anafundishwa kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto
Kazi ikawa ngumu kwa mwalimu kumtia stick mtoto maana anachanganyikiwa
Waislam mbona mnachuki sana hii dunia mngekuwa wenyewe kusingekuwa salama vita ingekuwa kama chaiHauni hao wakristo wamekufa wote 🤣🤣🤣
Huoni mkristo wa kwanza ndo aliua nchi kubaribu viwanda kweny mikoa kisa mikoa hyo inaishi waislamu
Huoni mkristo wa Kwanza aliweka mikakati ya kufelisha waislamu mpaka ulipokuja mfumo wa mamba chini ya kigoma
Ona sasa unavyokariri ndo mnavyodanganywa sisi magaidi huko kanisaniWa
Waislam mbona mnachuki sana hii dunia mngekuwa wenyewe kusingekuwa salama vita ingekuwa kama chai
Hoja hii inajibu maswali mengi directly pamoja na indirectly.mtoto alikuwa akienda madrasa anfundiswa kuandika kuanzia kulia kuja kushoto akienda shuleni anafundishwa kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto
Kazi ikawa ngumu kwa mwalimu kumtia stick mtoto maana anachanganyikiwa
nacheka km mwehu.mtoto alikuwa akienda madrasa anfundiswa kuandika kuanzia kulia kuja kushoto akienda shuleni anafundishwa kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto
Kazi ikawa ngumu kwa mwalimu kumtia stick mtoto maana anachanganyikiwa