Wakuu habari,
Kuna uzi nilishawahi kuusoma humu ndani juu ya uwekezaji kwenye mifuko ya UTT. Kuna ndugu aliuliza ni kiasi gani anapaswa kuwekeza ili aweze kupata return ya Tshs 250,000 kila mwezi. Jibu likawa ni anapaswa kuwekeza Tshs 30M.
Maswali yangu ni:
a) Je huyo ndugu, akiwekeza hiyo Tshs 30M na kila mwezi akiwa anachukua 250,000, baada ya miaka 5 ijayo hiyo Tshs 30M aliyowekeza haiwezi kutafunwa na Inflation rate?.
b) Kama Tshs 30M haiathiriwi na inflation rate, je ni mbinu gani ambazo zinatumika kulinda thamani ya Tshs 30M ibaki pale pale?.
Kwa yeyote yule mwenye uelewa juu ya hili naomba atupe elimu.
Asanteni.
Kuna uzi nilishawahi kuusoma humu ndani juu ya uwekezaji kwenye mifuko ya UTT. Kuna ndugu aliuliza ni kiasi gani anapaswa kuwekeza ili aweze kupata return ya Tshs 250,000 kila mwezi. Jibu likawa ni anapaswa kuwekeza Tshs 30M.
Maswali yangu ni:
a) Je huyo ndugu, akiwekeza hiyo Tshs 30M na kila mwezi akiwa anachukua 250,000, baada ya miaka 5 ijayo hiyo Tshs 30M aliyowekeza haiwezi kutafunwa na Inflation rate?.
b) Kama Tshs 30M haiathiriwi na inflation rate, je ni mbinu gani ambazo zinatumika kulinda thamani ya Tshs 30M ibaki pale pale?.
Kwa yeyote yule mwenye uelewa juu ya hili naomba atupe elimu.
Asanteni.