Je kipimo cha chama kuwa na nguvu ni kushinda chaguzi ndogo?

oldonyo

JF-Expert Member
Aug 11, 2011
549
86
Nimeamua kuandika post ii ili tuweze kuchangia mawazo na nyinyi,kwani kwasasa macho ya watanzania wengi yameelekezwa katika uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga kama kipimo cha vyama kukubalika kwake.

Lakini tukirudi nyuma chaguzi nyingi ndogo hasa katika awamu ya kwanza ya jk zilifanyika hasa katika majimbo ya tarime,busanda biharamulo magharibi na mbeya vijijini nini matokeo ya chuguzi izi?

Ni kwamba ccm kiliweza kutetea viti vyake na pia chadema katika jimbo la tarime.lakini pamoja na ayo katika uchaguzi mkuu wa 2010 licha ya ccm kushinda chaguzi ndogo iliweza kugaragazwa vibaya na vyama vya upinzani sana sana chadema. Sasa nikweli uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga unaweza kutupa picha halisi ya 2015 mambo yatakavokuwa.

NAWASILISHA.
 
Nimeamua kuandika post ii ili tuweze kuchangia mawazo na nyinyi,kwani kwasasa macho ya watanzania wengi yameelekezwa katika uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga kama kipimo cha vyama kukubalika kwake.

Lakini tukirudi nyuma chaguzi nyingi ndogo hasa katika awamu ya kwanza ya jk zilifanyika hasa katika majimbo ya tarime,busanda biharamulo magharibi na mbeya vijijini nini matokeo ya chuguzi izi?

Ni kwamba ccm kiliweza kutetea viti vyake na pia chadema katika jimbo la tarime.lakini pamoja na ayo katika uchaguzi mkuu wa 2010 licha ya ccm kushinda chaguzi ndogo iliweza kugaragazwa vibaya na vyama vya upinzani sana sana chadema. Sasa nikweli uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga unaweza kutupa picha halisi ya 2015 mambo yatakavokuwa.

NAWASILISHA.

MKUU UNAUHAKIKA NA HIKI KITU AU HUPENDI TU CCM (cHAMA cHA mAIGIZO)?
 
<span style="font-family: comic sans ms">MKUU UNAUHAKIKA NA HIKI KITU AU HUPENDI TU CCM (cHAMA cHA mAIGIZO)?</span>
<br />
<br />
ivi chama kutoka wabunge watano kama chadema adi arobaini na nane simafanikio?NCCR kutoka na wabunge zero hadi wanne simafanikio?CUF bunge la tisa haikuwa na mbunge tanzania bara leo wanae mmoja lindi mjini hayo sio mafanikio?turudi TLP leo nao wanatamba vunjo ayo sio mafanikio?kwani majimbo haya yaliyochukuliwa na upinzani yalikuwa yanaongozwa na nani?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
ivi chama kutoka wabunge watano kama chadema adi arobaini na nane simafanikio?NCCR kutoka na wabunge zero hadi wanne simafanikio?CUF bunge la tisa haikuwa na mbunge tanzania bara leo wanae mmoja lindi mjini hayo sio mafanikio?turudi TLP leo nao wanatamba vunjo ayo sio mafanikio?kwani majimbo haya yaliyochukuliwa na upinzani yalikuwa yanaongozwa na nani?
<br />
<br />
Chadema ina wabunge 23 akiwemo na shibuda! Hivyo ni kutoka majimbo matano hadi 23! Usipotoshe umma we Gwanda(mgambo)
 
Kwa mtazamo wangu hicho hakiwezi kuwa kipimo tosha labda kungekuwa na fair ground kaka... Tukumbuke kuwa mbwa hata ukimpa meno ya bandia hawez kumbwekea anayemfuga...maana nikuwa NEC na msimamizi ambaye ni DED hawawezi kamwe kuruhusu watoto wao wale nyasi
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Chadema ina wabunge 23 akiwemo na shibuda! Hivyo ni kutoka majimbo matano hadi 23! Usipotoshe umma we Gwanda(mgambo)
<br />
<br />
je wazee wa kujivua gamba wana wabunge wangapi?ukiachana na kina sterah manyanya na kina vicky kamata bila kusahau viti kumi vya raisi na vile mlivotangaza kwa mtutu wa bunduki.
 
Nimeamua kuandika post ii ili tuweze kuchangia mawazo na nyinyi,kwani kwasasa macho ya watanzania wengi yameelekezwa katika uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga kama kipimo cha vyama kukubalika kwake.

Lakini tukirudi nyuma chaguzi nyingi ndogo hasa katika awamu ya kwanza ya jk zilifanyika hasa katika majimbo ya tarime,busanda biharamulo magharibi na mbeya vijijini nini matokeo ya chuguzi izi?

Ni kwamba ccm kiliweza kutetea viti vyake na pia chadema katika jimbo la tarime.lakini pamoja na ayo katika uchaguzi mkuu wa 2010 licha ya ccm kushinda chaguzi ndogo iliweza kugaragazwa vibaya na vyama vya upinzani sana sana chadema. Sasa nikweli uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga unaweza kutupa picha halisi ya 2015 mambo yatakavokuwa.

NAWASILISHA.

Kipimo ni nguvu ya umma.
 
Chadema ina wabunge 23 akiwemo na shibuda! Hivyo ni kutoka majimbo matano hadi 23! Usipotoshe umma we Gwanda(mgambo)
hawa wa viti maalum huwa wanaitwa nani tena.. eh nanii... nimesahau tena labda sio wabunge wao 'mzee wa posho' magamba proper
 
Viti maalum wa ccm 50, hawaingii kwa kichwa kama Magdalena Sakaya, wingi wao ni wa kuitikia ndiyoooooooooooo.
 
kujua kama chaguzi ndogo ni kipimo cha chama fulani kukubalika inatakiwa kwanza utafiti ufanywe, kama vile wa synovate or redet.

mfano:
1. Jimbo lina wananchi wangapi
2. Lina wapiga kura wangapi
3. Wazee wangapi walijiandikisha kupiga kura
4. Vijana wangapi walijiandikisha kupiga kura
5. Wajinga wako kiasi gani
6. Wasomi wako wangapi
7. Uchumi wa wananchi unategemea nini na wanafaidikaje na products wanazozalisha wenyewe
8. Wanaathirika vipi na mfumuko wa bei hapa nchini
9. Nini matarajio ya hiyo jamii kimaisha na kiuchumi, na nani anaweza kuwasaidia kufikia malengo wanayoyataka
 
<br />
<br />
ivi chama kutoka wabunge watano kama chadema adi arobaini na nane simafanikio?NCCR kutoka na wabunge zero hadi wanne simafanikio?CUF bunge la tisa haikuwa na mbunge tanzania bara leo wanae mmoja lindi mjini hayo sio mafanikio?turudi TLP leo nao wanatamba vunjo ayo sio mafanikio?kwani majimbo haya yaliyochukuliwa na upinzani yalikuwa yanaongozwa na nani?
Hayo yooote sawa ila kuwa ndo CCM imegaragazwa sana! Hapa naona si kweli. Let's name a spade, a spade!
 
Nimeamua kuandika post ii ili tuweze kuchangia mawazo na nyinyi,kwani kwasasa macho ya watanzania wengi yameelekezwa katika uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga kama kipimo cha vyama kukubalika kwake.

Lakini tukirudi nyuma chaguzi nyingi ndogo hasa katika awamu ya kwanza ya jk zilifanyika hasa katika majimbo ya tarime,busanda biharamulo magharibi na mbeya vijijini nini matokeo ya chuguzi izi?

Ni kwamba ccm kiliweza kutetea viti vyake na pia chadema katika jimbo la tarime.lakini pamoja na ayo katika uchaguzi mkuu wa 2010 licha ya ccm kushinda chaguzi ndogo iliweza kugaragazwa vibaya na vyama vya upinzani sana sana chadema. Sasa nikweli uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga unaweza kutupa picha halisi ya 2015 mambo yatakavokuwa.

NAWASILISHA.
Hapana mkuu!sample will be very sample to represent the whole population!!
 
Kwa siasa za Tanzania, chama (hasa cha upinzani) kinaweza kukubalika sana
na kuchaguliwa lakini kisishinde, umesahau kuwa baada ya kura kinachofuata
ni uchakachuaji? Hivyo sidhani kama hiki ni kipimo sahihi.

Huu ni mtazamo wangu...
 
Back
Top Bottom