Lucian Gallet
Member
- Jul 30, 2010
- 15
- 0
Hakumbaka na angeweza kumwoa ila ingemlazimu kupata ridhaa ya wazazi wake na Lulu kwa sababu ya umri. sheria inaruhusu mwanake mwenye umri wa miaka 14-17 kuolewa ila kwa ridhaa ya wazazi wake. Pia asiwe mwanafunzi