Nawashangaa Watanzania wanaoshangaa kusikia Sadio Mane kamuoa girlfriend wake wa muda mrefu mwenye umri wa miaka 18

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,120
27,126
Age of consent in Senegal is 16 years old. Kwa maana ya kwamba mtu mwenye umri wa miaka 16 nchini Senegal anaruhusiwa kuolewa au kuoa.

Hiyo hoja kusema kwamba sijui alikuwa ana tembea na minor haina mashiko.

Hata hapa Tanzania sheria yetu ya ndoa msichana anaruhusiwa kuolewa akiwa na umri wa miaka 14 kwa idhini ya wazazi wake ama miaka 15 kwa idhini yake mwenyewe endapo ndoa hiyo itafungwa kwa kufuata utaratibu wa dini ya kiislamu..

Huko Angola umri wa kufanya mapenzi kisheria ni miaka 12. Umri wa ndoa ni miaka 15 kwa msichana na miaka 16 kwa mvulana.

So hakuna cha ajabu hapo kwa Sadio Mane.

FB_IMG_17047891358634571.jpg
 
Wanaona gere
More video na picha hapa njioni muone WIVU zaidi


 
Age of consent in Senegal is 16 years old. Kwa maana ya kwamba mtu mwenye umri wa miaka 16 nchini Senegal anaruhusiwa kuolewa au kuoa.

Hiyo hoja kusema kwamba sijui alikuwa ana tembea na minor haina mashiko.

Hata hapa Tanzania sheria yetu ya ndoa msichana anaruhusiwa kuolewa akiwa na umri wa miaka 14 kwa idhini ya wazazi wake ama miaka 15 kwa idhini yake mwenyewe endapo ndoa hiyo itafungwa kwa kufuata utaratibu wa dini ya kiislamu..

Huko Angola umri wa kufanya mapenzi kisheria ni miaka 12. Umri wa ndoa ni miaka 15 kwa msichana na miaka 16 kwa mvulana.

So hakuna cha ajabu hapo kwa Sadio Mane.

View attachment 2866716
Kila nchi ina sheria yake like you said na nakuunga mkono kwa hoja yako kwani hata Saudi Arabia kuna kijana aitwaye Mohammed naye alioa katoto (Aisha) kakiwa na miaka 6 kwenda saba huku yeye akiwa na miaka 52 na alianza kukachapa miti kikiwa na miaka 9 yeye Mohammed akiwa na miaka 54. Cha kushangaza watu wanamuabudu huyu mtu na hakuna hata muumini anayehoji huu ubakaji alioufanya huyu jamaa wanahoji haya ya Mane. Waafrika tuna matatizo ya akili sana, tujitafakari.
 
Kila nchi ina sheria yake like you said na nakuunga mkono kwa hoja yako kwani hata Saudi Arabia kuna kijana aitwaye Mohammed naye alioa katoto (Aisha) kakiwa na miaka 6 kwenda saba huku yeye akiwa na miaka 52 na alianza kukachapa miti kikiwa na miaka 9 yeye Mohammed akiwa na miaka 54. Cha kushangaza watu wanamuabudu huyu mtu na hakuna hata muumini anayehoji huu ubakaji alioufanya huyu jamaa wanahoji haya ya Mane. Waafrika tuna matatizo ya akili sana, tujitafakari.
Wewe ni kichaa
 
miaka 14-17 yaanii wakija fika miaka 25 / 30 washatembea kilomiter nyingii

na kila mtu ampende mpenziweee haahaaa kumbe ni mpenzi wa mwingine na mwingine
 
Kila nchi ina sheria yake like you said na nakuunga mkono kwa hoja yako kwani hata Saudi Arabia kuna kijana aitwaye Mohammed naye alioa katoto (Aisha) kakiwa na miaka 6 kwenda saba huku yeye akiwa na miaka 52 na alianza kukachapa miti kikiwa na miaka 9 yeye Mohammed akiwa na miaka 54. Cha kushangaza watu wanamuabudu huyu mtu na hakuna hata muumini anayehoji huu ubakaji alioufanya huyu jamaa wanahoji haya ya Mane. Waafrika tuna matatizo ya akili sana, tujitafakari.
hakuna muislam anayemuabudu MUHAMMAD

Anayepaswa KUABUDIWA ni MWENYENZIMUNGU pekee ambaye MUHAMMAD ni mtume wake kwetu
 
Kila nchi ina sheria yake like you said na nakuunga mkono kwa hoja yako kwani hata Saudi Arabia kuna kijana aitwaye Mohammed naye alioa katoto (Aisha) kakiwa na miaka 6 kwenda saba huku yeye akiwa na miaka 52 na alianza kukachapa miti kikiwa na miaka 9 yeye Mohammed akiwa na miaka 54. Cha kushangaza watu wanamuabudu huyu mtu na hakuna hata muumini anayehoji huu ubakaji alioufanya huyu jamaa wanahoji haya ya Mane. Waafrika tuna matatizo ya akili sana, tujitafakari.
Waafrika kweli tuna matatizo ya akili maana kuna watu wanamuabudu jamaa mmoja anaitwa yesu kuwa eti ni kungu..yaani mungu aliyezaliwa na binadamu,akakatwa govi na binadamu halafu akaja kuuwawa kizembe na wahuni..yaani mungu akauwawa kizembe na wahuni halafu watu wanategemea eti ataoambana na shetani..hahaha
 
hakuna muislam anayemuabudu MUHAMMAD

Anayepaswa KUABUDIWA ni MWENYENZIMUNGU pekee ambaye MUHAMMAD ni mtume wake kwetu
Kwa akili yako unaamini kweli kuwa Muddy alikuwa mtume? Hivi Mungu anaweza kukutumia mbakaji, firahuni, muuwaji kuwa mtume wako? Just think about it, tatizo waislam wengi hawataki kuhoji uhalali wa Muddy kuwa mtume, wameaminishwa upuuzi usio na kichwa wala miguu na kuuchukulia kuwa ni kweli.
 
Back
Top Bottom