Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,149
- 13,288
[HASHTAG]#MBEYA[/HASHTAG] KESI YA SUGU'
Washtakiwa Joseph Mbilinyi (Sugu) na mwenzake wamemkataa Hakimu anayesikiliza shauri lao kwa madai kuwa hawana imani naye baada ya kuwanyima dhaman kinyume cha sheria.
Kesi hiyo imeaihirishwa kwa saa kwaajili ya kusubiri uamuzi iwapo Hakimu huyo ataendelea nayo ama laa.
Washtakiwa Joseph Mbilinyi (Sugu) na mwenzake wamemkataa Hakimu anayesikiliza shauri lao kwa madai kuwa hawana imani naye baada ya kuwanyima dhaman kinyume cha sheria.
Kesi hiyo imeaihirishwa kwa saa kwaajili ya kusubiri uamuzi iwapo Hakimu huyo ataendelea nayo ama laa.