Je JF ingeweka sheria hizi hapa ingekuaje?

Unique Flower

JF-Expert Member
Apr 19, 2019
12,714
24,892
1. Hujiungi bila kuweka namba ya simu yako.

2. Kuwa na picha yako halisi au kitambulisho cha nida.

3. Uweke malengo yako humu JF nini.

4. Uweke kazi yako halisi unayofanya naukidanganya huwezi kulog in au kucreate account tungekuwa tunasumbuana akili kweli kwa kejeli na matusi si watu wasingetongozana maana humu kuna sura ya wanyama wa aina mbali mbali 🤣🤣🤣🤣🤣 wamejificha kwenye ID FEKI MIE hata niweje hata ningeweka postas za picha yangu kukusema vibaya nakusema na vurugu naanzisha
 
1. Hujiungi bila kuweka namba ya simu yako
2. Kuwa na picha yako halisi au kitambulisho cha nida .
3. Uweke malengo yako humu jf nini.
4. Uweke kazi yako halisi unayofanya naukidanganya huwezi kulog in au kucreate account tungekuwa tunasumbuana akili kweli kwa kejeli na matusi si watu wasingetongozana maana humu kuna sura ya wanyama wa aina mbali mbali 🤣🤣🤣🤣🤣 wamejificha kwenye ID FEKI MIE hata niweje hata ningeweka postas za picha yangu kukusema vibaya nakusema na vurugu naanzisha
Ingekuwa hivo mbona wengi wangekimbia utakuwa huna uhuru wakujichia kama hivi unakuwa huru unazungumza unachotaka hata kama mshua yuko huku unamkandia😀alafu ukifika home kama vile hamjuani
 
1. Hujiungi bila kuweka namba ya simu yako
2. Kuwa na picha yako halisi au kitambulisho cha nida .
3. Uweke malengo yako humu jf nini.
4. Uweke kazi yako halisi unayofanya naukidanganya huwezi kulog in au kucreate account tungekuwa tunasumbuana akili kweli kwa kejeli na matusi si watu wasingetongozana maana humu kuna sura ya wanyama wa aina mbali mbali 🤣🤣🤣🤣🤣 wamejificha kwenye ID FEKI MIE hata niweje hata ningeweka postas za picha yangu kukusema vibaya nakusema na vurugu naanzisha
Huu utakuwa ni MTANDAO ama BANK?
😀😀😀
 
1. Hujiungi bila kuweka namba ya simu yako.

2. Kuwa na picha yako halisi au kitambulisho cha nida.

3. Uweke malengo yako humu JF nini.

4. Uweke kazi yako halisi unayofanya naukidanganya huwezi kulog in au kucreate account tungekuwa tunasumbuana akili kweli kwa kejeli na matusi si watu wasingetongozana maana humu kuna sura ya wanyama wa aina mbali mbali 🤣🤣🤣🤣🤣 wamejificha kwenye ID FEKI MIE hata niweje hata ningeweka postas za picha yangu kukusema vibaya nakusema na vurugu naanzisha
Duh hayo masharti ya washirikina.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom