Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Baada ya kuona dozi nzito zinatolewa na wananchi ...de Yanga Kwa timu pinzani nimeona nifanye research kidogo Kwa kuwashirikisha ndugu zangu humu
Tujikumbushe...hizi ndizo baadhi ya timu zilizochezea ✋ Kwa Yanga
Simba
Kmc
Ihefu
Je unadhani hivi vichapo vinaashiria Nini kwenye ligi yetu??
Hizi ni hypothesis
1) Timu zote TZ Zina uwezo mdogo Kwa Yanga
2) ligi imekuwa....ila Yanga imekuwa zaidi
3) baadhi y timu TZ hazina quality players
4.) 1 2 3 4 Yote sawa
Tujikumbushe...hizi ndizo baadhi ya timu zilizochezea ✋ Kwa Yanga
Simba
Kmc
Ihefu
Je unadhani hivi vichapo vinaashiria Nini kwenye ligi yetu??
Hizi ni hypothesis
1) Timu zote TZ Zina uwezo mdogo Kwa Yanga
2) ligi imekuwa....ila Yanga imekuwa zaidi
3) baadhi y timu TZ hazina quality players
4.) 1 2 3 4 Yote sawa