Je, hizi goli Tano Tano za Yanga ✋ Zina reflect vipi ligi yetu?

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,783
24,215
Baada ya kuona dozi nzito zinatolewa na wananchi ...de Yanga Kwa timu pinzani nimeona nifanye research kidogo Kwa kuwashirikisha ndugu zangu humu
Tujikumbushe...hizi ndizo baadhi ya timu zilizochezea ✋ Kwa Yanga
Simba
Kmc
Ihefu

Je unadhani hivi vichapo vinaashiria Nini kwenye ligi yetu??
Hizi ni hypothesis
1) Timu zote TZ Zina uwezo mdogo Kwa Yanga
2) ligi imekuwa....ila Yanga imekuwa zaidi
3) baadhi y timu TZ hazina quality players
4.) 1 2 3 4 Yote sawa
 

Attachments

  • 1710179737162.jpg
    1710179737162.jpg
    88.1 KB · Views: 3
Baada ya kuona dozi nzito zinatolewa na wananchi ...de Yanga Kwa timu pinzani nimeona nifanye research kidogo Kwa kuwashirikisha ndugu zangu humu
Tujikumbushe...hizi ndizo baadhi ya timu zilizochezea ✋ Kwa Yanga
Simba
Kmc
Ihefu

Je unadhani hivi vichapo vinaashiria Nini kwenye ligi yetu??
Hizi ni hypothesis
1) Timu zote TZ Zina uwezo mdogo Kwa Yanga
2) ligi imekuwa....ila Yanga imekuwa zaidi
3) baadhi y timu TZ hazina quality players
4.) 1 2 3 4 Yote sawa
Tofautisha Timu ya Yanga na Ligi Yetu

Ligi yetu ni kubwa ya tano kwa Afrika; halafu Timu ya Yanga ni Next Level. Kumbuka kuwa ukipambana na Yanga unakuwa unapambana na vitu viwili kwa mpigo: Timu ya Yanga yenyewe na Pacome. Ukiishinda Yanga utakumbana na Pacome ambaye atakupiga, na ukimshinda Pacome basi Yanga inakupiga. Huna pa kutokea!
 
Tofautisha Timu ya Yanga na Ligi Yetu

Ligi yetu ni kubwa ya tano kwa Afrika; halafu Timu ya Yanga ni Next Level. Kumbuka kuwa ukioambana na Yanga unakuwa unapambana na vitu viwili kwa mpigo: Timu ya Yanga yenyewe na Pacome. Ukiishinda Yanga utakumbana na Pacome ambaye atakupiga, na ukimshinda Pacome basi Yanga inakupiga. Huna pa kutokea!
huna lolote Eti Next level pacome si takataka tu huyo hadi kwenye timu yake ya Taifa hatambuliki
 
Tofautisha Timu ya Yanga na Ligi Yetu

Ligi yetu ni kubwa ya tano kwa Afrika; halafu Timu ya Yanga ni Next Level. Kumbuka kuwa ukioambana na Yanga unakuwa unapambana na vitu viwili kwa mpigo: Timu ya Yanga yenyewe na Pacome. Ukiishinda Yanga utakumbana na Pacome ambaye atakupiga, na ukimshinda Pacome basi Yanga inakupiga. Huna pa kutokea!
Umenena fact mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom