Je, Hayati Magufuli alikuwa na hirizi ya simba?

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Jul 19, 2021
2,791
8,005
Magufuli alikuwa ni mtawala anayeogopwa sana. Ukiitwa ofisini kwake unapatwa na ubaridi yabisi hadi kwenye mifupa.

Watu wote tulimuogopa sana. Nchi nzima hakuna aliyeweza kumnyooshea kidole.

Wataalam wa mambo yasiyoonekana wanasema ili uweze kuwa na kaliba ile ni lazima uwe na hirizi ya Simba. Je, Rais wetu alikuwa na hiyo hirizi?

 
Pamoja na madhaifu yake meeeengi....
Lakini alileta nidhamu na uwajibikaji.
Pia wezi na mafisadi walimuogopa kwasababu alizijua njia zao kwakua aliishi kwenye mfumo tangu wakati wa BM.
Alikua na uchungu na rasilimali za taifa pia alikua alikua na maono yake kwa taifa.
Aliwapenda wanyonge na nakupenda masikini aonewe.
Alisimamia kile alicho kiamini hata kama alikua anaumiza wengine, lakini alisisitiza msimamo wake.
 
Screenshot_20230623-214708_(1).png
 
Magufuli alikuwa ni mtawala anayeogopwa sana. Ukiitwa ofisini kwake unapatwa na ubaridi yabisi hadi kwenye mifupa.

Watu wote tulimuogopa sana. Nchi nzima hakuna aliyeweza kumnyooshea kidole.

Wataalam wa mambo yasiyo onekana wanasema ili uweze kuwa na kaliba ile ni lazima uwe na hirizi ya Simba. Je rais wetu alikuwa na hiyo hirizi?


Achana na imani za kishirikina, aint no such thing as hirizi ya simba.
Ukali wake ulitosha kuweka hofu na si ushirikina
 
Back
Top Bottom