Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,791
- 8,005
Magufuli alikuwa ni mtawala anayeogopwa sana. Ukiitwa ofisini kwake unapatwa na ubaridi yabisi hadi kwenye mifupa.
Watu wote tulimuogopa sana. Nchi nzima hakuna aliyeweza kumnyooshea kidole.
Wataalam wa mambo yasiyoonekana wanasema ili uweze kuwa na kaliba ile ni lazima uwe na hirizi ya Simba. Je, Rais wetu alikuwa na hiyo hirizi?
Watu wote tulimuogopa sana. Nchi nzima hakuna aliyeweza kumnyooshea kidole.
Wataalam wa mambo yasiyoonekana wanasema ili uweze kuwa na kaliba ile ni lazima uwe na hirizi ya Simba. Je, Rais wetu alikuwa na hiyo hirizi?