Je, gari Suzuki Swift ni inafaa Tanzania?

Watanzania kwa kuponda mambo ya wenzao hawajambo. Walilidharau sana KIA, nimeshangaa Kia ilivyoibukia Marekani na sasa wana kiwanda huko huko Marekani na inauzika kusninda magari yenye majina.

Hizo Swhift mnazozibeza sasa zipo katika harakati za kuwa na soko kubwa nchini Marekani, soon itakuwa sokoni kwa vile imeshapata kibali kutoka wadhamini na idara ya uhakiki ubora wa kiwango imekubali ni gari inayofaa nchini Marekani.

Wenzetu walioendelea magari wanaayachamgamkia ndio hayo, nitakuletea mifano michache hapa chini na bado utashangaa kuliko unavyolibeza Swift.
 
Watanzania kwa kuponda mambo ya wenzao hawajambo. Walilidharau sana KIA, nimeshangaa Kia ilivyoibukia Marekani na sasa wana kiwanda huko huko Marekani na inauzika kusninda magari yenye majina.

Hizo Swhift mnazozibeza sasa zipo katika harakati za kuwa na soko kubwa nchini Marekani, soon itakuwa sokoni kwa vile imeshapata kibali kutoka wadhamini na idara ya uhakiki ubora wa kiwango imekubali ni gari inayofaa nchini Marekani.

Wenzetu walioendelea magari wanaayachamgamkia ndio hayo, nitakuletea mifano michache hapa chini na bado utashangaa kuliko unavyolibeza Swift.

swift inayokwenda usa tofauti na inayokuja bongo. Hata hali ya hewa ni tofauti sana na usa pamoja na miundombinu. Kuna kipindi toyota walitoa gari toleo la gari ambalo lilikuwa na dosari. Niambie watanzania wangapi walirudisha?
 
maruti-swift-pictures-046.jpg

Maruti Suzuki swift car


Maruti Suzuki New swift: Hold your breath, new car is coming soon
www.marutiswift.com - Cached

[h=3]2012 Suzuki Swift - Spied - Car and Driver[/h]
Suzuki Previews Swift S-Concept for Geneva Show - Auto Shows; 2011 Suzuki Swift - Auto Shows; Will the Next Suzuki Swift Come to the U.S.? - Car News; Suzuki SwiftPlug-In ...
www.caranddriver.com/spy-shots/2012-suzuki-swift-spied - Cached
More results from caranddriver.com »
 
Watanzania kwa kuponda mambo ya wenzao hawajambo. Walilidharau sana KIA, nimeshangaa Kia ilivyoibukia Marekani na sasa wana kiwanda huko huko Marekani na inauzika kusninda magari yenye majina.

Hizo Swhift mnazozibeza sasa zipo katika harakati za kuwa na soko kubwa nchini Marekani, soon itakuwa sokoni kwa vile imeshapata kibali kutoka wadhamini na idara ya uhakiki ubora wa kiwango imekubali ni gari inayofaa nchini Marekani.

Wenzetu walioendelea magari wanaayachamgamkia ndio hayo, nitakuletea mifano michache hapa chini na bado utashangaa kuliko unavyolibeza Swift.

Elewa hoja: concern yake kuu ni "jee linafaa kwa mazingira ya Tanzania?". Sasa mambo ya ubora wa garage, urahisi wa kuaccess spare parts na ubora wa miundombinu baina ya Marekani na Tanzania ndio inayoraise swali hili Swift inafaa kwa mazingira ya Tanzania?
 
Elewa hoja: concern yake kuu ni "jee linafaa kwa mazingira ya Tanzania?". Sasa mambo ya ubora wa garage, urahisi wa kuaccess spare parts na ubora wa miundombinu baina ya Marekani na Tanzania ndio inayoraise swali hili Swift inafaa kwa mazingira ya Tanzania?

Nimekuelewa, lakini kuna watumiaji wazuri tu wa magari hyo Tanzania, na nimejaribu kufuatilia mauzo Japan yanaonekana kuzidi kupaa ya Swift export to Tanzania, kwa hiyo ni dalili ni gari inaweza kuhimili mazingira kuliko wengi wanavyokatisha tamaa kabisa.
Ninachoweza kushauri ni 4wheel drive kwa mazingira ya vijijini na milimani.
 
Nimesikia AC yake sio nzuri sana, yaani haina nguvu ya kutosha. Hebu mwenye gari aina hii watujuze.
 
candid hebu nunua swift 1 mtumie ndugu yako yyt alitumie baada ya miezi 5 itawaka ya taa ya engine kwenye dashboard mwambie apeleke kwa fundi waitengeneze baada ya miezi 2 muulize anawajua mafundi wangapi wa swift hapa tanzania , ukitaka kukaa na hii swift uwe na gari nyingine hii iwe ya week end tu kuendea beach na abiria 1 tu usiipe mzigo
 
hehehehehhe ... labda kanatumia umeme mkuu sio mafuta... maana niliona vigari vya umeme maumbo yake madogo kama hiko kigari...

Unazungumzia Hybrid,very expensive!! Ebu search hapo Toyota Hybrid ya 2005 uone pakee yake!
 
basi tumshauri gari gani inafaa ikiwa na cc hizo za swift!!tumeponda sana lakini pia tumpe mbadala wake!!
 
Anunue TOYOTA CARINA INA CC 1450, bei ndogo, drive shaft inadumu hadi miaka kumi, IT DRIVES FIVE PEOPLE IN COMFORT, ECONOMY IN FUEL CONSUMPTION, SPARES ARE AVAILABLE AND IN GOOD(CHEAP) PRICE, CAN BE USED ON OR OFF ROAD, RESALE VALUE IS EXCELLENT, WHAT ELSE YOU WANT FROM A CAR?
 
Hao wengine wanaotumia hayo magari ya Swift kwa miaka kadhaa bila malalamiko imekaaje? Jamaa yangu mmoja analitumia tangu apangiwe kazi huko Songea, anapandisha milima ya namtumbo bila taabu kwa miaka 4 sasa na hajalalamika hayo mnayoniambia, Tumwachie yeye aliyeleta mada afanye uamuzi, ila naona wengi wanatoa mawazo ya kukatisha tamaa zaidi bila hata kutumia mizani ya advantage na disadvantage. Kuweka kitu kwa upande mbaya tu ni kasoro, bora to weigh both sides ndipo tutachagua vinginevyo ni vitisho tu. Mbona gari hiyo inazidi kuw na soko katika ulimwengu wa kwanza?
 
02.jpg

Toyota Vitz ni gari nzuri kutembelea mjini na ni imara. Tatizo ni dogo, halina nafasi ya kuweka mabegi nyuma kama unasafiri mbali kidogo Tofauti na Suzuki Swift inaonekana kuwa na nafasi ya kutosha kuweka mzigo ya kujikimu safarini nyuma. Halafu chesis iko chini zaidi kuliko Swift.

02.jpg

Suzuki Swift wanavyoshauri wengi haina nguvu sana kama yalivyo magari ya Toyota. Linaonekana gari ambalo inaweza kupenya sehemu zenye matatizo kama Vingunguti, Shimo la Udongo nk kwa vile liko juu zaidi kuliko Vitz ambalo linaonekana kuwa chini zaidi.

Nashukuru kwa ushauri wenu najaribu kufanya tathmini ni gari ipi kwa mazingira ambayo naweza kufika nayo hadi kijijini, maana kule kuna kiroba cha mchele, maharage, kuku nk kwa Vitz nitakosa pa kuweka ingawa litaweza kupangua milima. Suzuki linaweza kubeba zawadi hizo ili tu shaka kupandisha milima. Linaweza kufua dafu labda kama nitachagua 4wd.

Kwa vyo vyote nawajibika kufanya uamuzi kati ya haya mawili, na hii naifanyia kazi. Asanteni sana kwa upendo wenu kunipa ushauri na nitazingatia maoni yote kufanya uchaguzi sahihi.
 
hizi ni jamii ya bajaji

Yale magari ya zamani ya Suzuki Samurai hayapo tena? Yalikuwa magari mazuri sana na madogo, mafuta kidogo na ya kupenya panaposhindikana. Likikwama wawili mnalisukuma linatoka. Udogo si hoja ila ubora. Yawezekana hizi Swifsi ni mwendelezo wa Samurai.
 
Back
Top Bottom