Naomba kuuliza wanajamii forums je gari hii inafaa kwa mazingira ya Tanzania? Ninachovutiwa ni kuwa na matumizi kidogo ya mafuta. Na pia Suzuki zinaonekana kustahimili misukosuko ya barabara zetu, ila sina uzoefu na Swift, ila nimezifahamu Samurai na Vitara. Wengine tunapenda tu gari ambayo inanisidia based kwamba sitarajii kuwa na matumizi makubwa kwa vile nasafiri nje mara kwa mara.