IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Ni maswali mengi yayoelea vichwani mwa Watanzania kwa sasa, na bado majibu ni Kitendawili.
(a)Ni nani maarufu kati ya Dr Slaa na Kikwete kwa sasa?
(b) Je ni kweli Dr slaa anafahamika hadi huko kwenye grassroot?
(c) Na kama Watanzania watamuamini Dr slaa, je yawezekana akatusaliti huko mbele?
Kwa kweli hapa vichwa vinauma jamani, sijui tunafanyeje kwa hili
(a)Ni nani maarufu kati ya Dr Slaa na Kikwete kwa sasa?
(b) Je ni kweli Dr slaa anafahamika hadi huko kwenye grassroot?
(c) Na kama Watanzania watamuamini Dr slaa, je yawezekana akatusaliti huko mbele?
Kwa kweli hapa vichwa vinauma jamani, sijui tunafanyeje kwa hili