Elections 2010 Je Dr. Slaa akitupa jalamba, ushindi utakuwepo 2010?

Ukiukosa Urais huwezi kuingia Bungeni ndio mfumo wetu wa bunge huo..Lakini kumbuka tu Bunge ni mahala unapowakilisha jimbo lako..Dr.Slaa hakupata sifa na umaarufu kwa sababu ya uwakilishi wa jimbo lake (ilani yake) isipokuwa kuwakilisha maslahi ya Taifa zima (ilani ya chama) ktk yote maswala nyeti. Hivyo Chadema hawana sababu ya kuhofia Dr.Slaa kutokuwa Bungeni kwani lazima atakuwepo mtu mwingine (aliyeshinda) ambaye atakabidhiwa mamlaka ya kuwakilisha hoja hizi kama alivyokuwa Dr.Slaa...

Na kuhusu jimbo lake, kama Dr.Slaa atasimama kugombea Urais mara nyingi ushindi wa jimbo pia humfuata mgombea wake. Na kama mgombea wake atashindwa basi kuna uwezekano mkubwa kwamba hata yeye angegombea jimbo hilo asingeweza kushinda...Kwa hiyo ni rahisi sana kufikiria ni bora Dr.Slaa agombee jimboni kwake lakini kama atashindwa jimboni huko nguvu ya chama na yeye mwenyewe itapotea kabisa.. Hivyo fikiria pia what if - Dr.Slaa atashindwa kiti cha ubunge itakuwaje!
 
Ukiukosa Urais huwezi kuingia Bungeni ndio mfumo wetu wa bunge huo..Lakini kumbuka tu Bunge ni mahala unapowakilisha jimbo lako..Dr.Slaa hakupata sifa na umaarufu kwa sababu ya uwakilishi wa jimbo lake (ilani yake) isipokuwa kuwakilisha maslahi ya Taifa zima (ilani ya chama) ktk yote maswala nyeti. Hivyo Chadema hawana sababu ya kuhofia Dr.Slaa kutokuwa Bungeni kwani lazima atakuwepo mtu mwingine (aliyeshinda) ambaye atakabidhiwa mamlaka ya kuwakilisha hoja hizi kama alivyokuwa Dr.Slaa...

Na kuhusu jimbo lake, kama Dr.Slaa atasimama kugombea Urais mara nyingi ushindi wa jimbo pia humfuata mgombea wake. Na kama mgombea wake atashindwa basi kuna uwezekano mkubwa kwamba hata yeye angegombea jimbo hilo asingeweza kushinda...Kwa hiyo ni rahisi sana kufikiria ni bora Dr.Slaa agombee jimboni kwake lakini kama atashindwa jimboni huko nguvu ya chama na yeye mwenyewe itapotea kabisa.. Hivyo fikiria pia what if - Dr.Slaa atashindwa kiti cha ubunge itakuwaje!

Mkandara

Na hapa ndipo tunahitaji kufikiri sana tena sana, hebu kweli huyu Slaa hana ubavu wa kushinda?

Imani yangu nadhani anaweza kushinda, hapa hatujaribu kutabiri, ila watanzania wengi huko vijijini wanamfahamu sana, especially kule Mara, Mbeya, Arusha na hata kule Dar

Mkandara tusikate tamaa anaweza kushinda.

Wasi wasi yangu, ni kuwa hii tume ya uchaguzi haiwezi kufanya rafu?

Mkandara lakini tusisahau kuwa refa ni wao,

Dr slaa atakuwa hana viatu na Kikwete atakuwa amevaa viatu na kibaya zaidi uwanja una mbigili
 
Mpita Njia

Mpita Njia kama jina lako lilivyo, inawezekana kuwa sisi watanzania hatumchagui mtu kwa umaarufu, ila hapa tunataka Mtu bora na si umaarufu Mpita Njia.
Unaposema sisi HAPA, naamini unamaanisha JF. Tatizo ni kuwa hata sisi hapa tukiamua kiongozi bora ni yupi, wanaopiga kura ni mamilioni wengine ambao haya hawajui kuwa kuna kitu kinaitwa JF, achilia mbali kuwa huko kwenye JF wameshaonyesha kiongozi bora ni yupi
 
Unaposema sisi HAPA, naamini unamaanisha JF. Tatizo ni kuwa hata sisi hapa tukiamua kiongozi bora ni yupi, wanaopiga kura ni mamilioni wengine ambao haya hawajui kuwa kuna kitu kinaitwa JF, achilia mbali kuwa huko kwenye JF wameshaonyesha kiongozi bora ni yupi

Mpita Njia;

Kwa kuwa watanzania wenzetu wanaishi vijijini, na huko elimu ya kupiga kura ni kitendawili Mpita Njia, nadhani sasa ukisema kuwa wapiga kura ni milion 40, ni kweli ila sisi tuna jukumu la kuwasaidia Mama , kaka, baba zetu na hata shangazi zetu wanaelewa vema nini kinachoendelea juu ya upiga kura ili tumpate anayeweza kuwasaidia.
 
Back
Top Bottom