Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Mi nadhan malipo yalifanywa kipindi kile cha babu wa loliondo ilpopamba moto. Ndo alikuwa man of the moment na serikali nzima na vyombo vyote vya habari vikahamia huko. Taarifa zinasema lilikuwa lengo maalum la magamba ili wananchi tusikumbuke Dowans na wakalipa kipindi hicho.
Pia siamini kama RA angekubali kujivua gamba kabla hajachukua mpunga wake wa Dowans
Pia siamini kama RA angekubali kujivua gamba kabla hajachukua mpunga wake wa Dowans