YNNAH
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,702
- 969
Mke: hivi mume wangu mi nikifa utaoa tena?
Mume: kwanini nisioe.? Nitaoa tu.
Mke: huyo mwanamke ataishi humu ndani?
Mume: ataishi humu na atakuwa anawatunza watoto wetu.
Mke: atalala kwenye kitanda hiki?
Mume: atalala hapa na mimi na tutakuwa tunaenjoy zaidi ya tunavyoenjoy sasa na wewe.
Mke: mi nikifa nitaacha nguo,je atavaa nguo zangu?
Mume: sina uhakika sana sababu yeye ni mnene sana kuliko hata wewe,nadhani atachagua zinazomtosha tu.
Je,unadhani nini kitafua ta baada ya jibu hilo?
Mume: kwanini nisioe.? Nitaoa tu.
Mke: huyo mwanamke ataishi humu ndani?
Mume: ataishi humu na atakuwa anawatunza watoto wetu.
Mke: atalala kwenye kitanda hiki?
Mume: atalala hapa na mimi na tutakuwa tunaenjoy zaidi ya tunavyoenjoy sasa na wewe.
Mke: mi nikifa nitaacha nguo,je atavaa nguo zangu?
Mume: sina uhakika sana sababu yeye ni mnene sana kuliko hata wewe,nadhani atachagua zinazomtosha tu.
Je,unadhani nini kitafua ta baada ya jibu hilo?