Japokua nampenda lakini ukewenza sikubali...

Kuna wimbo wa bongo flava sijui ntamuoa ili niepuke radhi ya wazazi na chakula chake sili etc. Kumbe yanatokea. Pole dada, huyo muache dunia duara hii haina kona.
 
Kuna wimbo wa bongo flava sijui ntamuoa ili niepuke radhi ya wazazi na chakula chake sili etc. Kumbe yanatokea. Pole dada, huyo muache dunia duara hii haina kona.
Ahsante sijui namuonaje kwakweli.
 
Kwanza pole sana lakini ndio hali ya kidunia. Naamini wewe ni muisilamu issue ya life yako na mumeo ni tunu lakini mkweo ndio ameshaingilia kati yenu. Kisharia huyo mkweo lau angesema utalikiwe la sivyo mumeo hana radhi zake basi angefanya hivyo na dhambi zote zitamuendea huyo mkwe.

Issue kuwa mumeo ataowa halafu asiduu kitu nina uhakika halipo hapo ningekuwa naamini kuroga ningesema labda asiweze kuduu zaidi yako lakini hakuna hicho. Pia lau anataka aoe alafu amdhalilishe binti ya watu c halali pia. Pamoja na hayo mkweo atasimamia kidete amduu huyo mke mwengine under any circumstances na iwapo hatofanya ndio hatorudi huko mulipo.

Suluhisho ni nyie wawili kukaa mujadiliane kwa undani mumeo aone jinsi ya kutatua hilo. Mkweo ni hasidi na nyoka mbaya. Pamoja na yote hayo musigombane na mumeo kama itabidi aoe na mkewe abaki huku afrika kwani maisha ya uke wenza tena nchi za huko atakuwa mtumwa.

Nasaha yangu usitamke akuwache (talaka) maana utakuwa unapinga sharia halali ya Mungu.
 
Dini au sio dini; sikiliza moyo wako. Kama unaweza kushare mume wako na mtu mwingine go ahead; kama unaona ni ngumu, mwambie na umuombe talaka!

Sioni faida ya kuishi the rest of ur life ukisononeka, lkn ukiona unaweza handle that ni wewe!
 
''hana mbele wa nyuma kama mche wa sabuni ya mbuni..


pole sana dada............
 
kwanza pole sana,halafu jifunze wanaume sio watu wa kuwasaidia,wengi wetu ni washenzi,tukipata hela tunatafuta wa kutumia nao,sio wale tuliochuma nao,cha kufanya sikiliza moyo wako,kama hautaki uke wenza kataa kwa nguvu zote,na ikibidi kujiondoa kwenye ndoa ondoka tu,maana kwa mtazamo wangu ni heri ukatae uke wenza kuliko kukubali kwa shingo upande halafu ukae ukisononeka kila siku dhambi yake ni kubwa sana,kama unajiona huwezi kabisa mwache aoe halafu mdelete kabisa,na umweke wazi why unamdelete,huyo atajuta maisha yake yote,kwan huyu ndugu yake anamtaka sababu anakitu,amini nakwambia kitu alichonacho si kitu kwani hatodumu nacho,endelea na maisha yako na ALLAH atakusitiru.
 
mijanauje mingine sijui ikoje...
Eti anasingizia 'anamridhisha mama yake'
si ajabu alikuwa anamtamani siku nyingi...

Sikiliza moyo wako.......
Ukikaataa uke wenza sepa zako
 
Dini au sio dini; sikiliza moyo wako. Kama unaweza kushare mume wako na mtu mwingine go ahead; kama unaona ni ngumu, mwambie na umuombe talaka!

Sioni faida ya kuishi the rest of ur life ukisononeka, lkn ukiona unaweza handle that ni wewe!

Kabisaa!.sidhani kama Mungu atapenda kumuona mtu anasononeka,listen to your heart..sali sana.,inashangaza kipindi hana hela hakuona umuhmu huo hadi leo,ila ndo wanaume wengi walivyo,easy to forget wametoka wapi!..ongea nae,ikishindikana, dont concentrate on the sacrifices you made,but rather maisha ya wanao na WEWE!.
 
Kwanza pole sana lakini ndio hali ya kidunia. Naamini wewe ni muisilamu issue ya life yako na mumeo ni tunu lakini mkweo ndio ameshaingilia kati yenu. Kisharia huyo mkweo lau angesema utalikiwe la sivyo mumeo hana radhi zake basi angefanya hivyo na dhambi zote zitamuendea huyo mkwe.

Issue kuwa mumeo ataowa halafu asiduu kitu nina uhakika halipo hapo ningekuwa naamini kuroga ningesema labda asiweze kuduu zaidi yako lakini hakuna hicho. Pia lau anataka aoe alafu amdhalilishe binti ya watu c halali pia. Pamoja na hayo mkweo atasimamia kidete amduu huyo mke mwengine under any circumstances na iwapo hatofanya ndio hatorudi huko mulipo.

Suluhisho ni nyie wawili kukaa mujadiliane kwa undani mumeo aone jinsi ya kutatua hilo. Mkweo ni hasidi na nyoka mbaya. Pamoja na yote hayo musigombane na mumeo kama itabidi aoe na mkewe abaki huku afrika kwani maisha ya uke wenza tena nchi za huko atakuwa mtumwa.

Nasaha yangu usitamke akuwache (talaka) maana utakuwa unapinga sharia halali ya Mungu.
Ahsante kwa ushauri wako ntajitahid kuvuta subra lakini sijui kama ntaweza kukaa yani natamani ningeweza kueleza yote lakini siwezi
Namuachia mungu, isingenikera kama ingekua mtu mwengine lakini jamaa yake na wao ndio waliokua wakimsema vibaya anakuja
Kulia kwangu namwambia mumewangu usijali yatakwisha na utasahau leo hii ndio anawaona wa maaana eti mama kasema,haya hakuna mwanzo usokua na mwisho...
 
mijanauje mingine sijui ikoje...
Eti anasingizia 'anamridhisha mama yake'
si ajabu alikuwa anamtamani siku nyingi...

Sikiliza moyo wako.......
Ukikaataa uke wenza sepa zako
Ahsante sana kwa ushauri wako.
 
Punguza hasira, mumeo akioa mapenzi kwako yatazidi. Uke wenza una tatizo lipi? kama unampenda mwache achukuwe kidosho ndugu. Yote katika kupigana tough. Wacha roho mbaya.
 
Ahsante sana kwa ushauri wako.

Usimsikilize huyo, wacha mumeo aoe, tena wewe ndio umatayarishie harusi, alkhasir na umpokee mwenzako. Usiwe na roho butu.

Halfu usimsingizie mkweo, hizo ni stori tu alizokupa mumeo ili aku convine, wewe ukitaka usitake, mwenzio ataoa. kwa hiyo kubali yaishe, kama kamanda mbowe alivyofanya juzi bungeni.
 
kwanza pole sana,halafu jifunze wanaume sio watu wa kuwasaidia,wengi wetu ni washenzi,tukipata hela tunatafuta wa kutumia nao,sio wale tuliochuma nao,cha kufanya sikiliza moyo wako,kama hautaki uke wenza kataa kwa nguvu zote,na ikibidi kujiondoa kwenye ndoa ondoka tu,maana kwa mtazamo wangu ni heri ukatae uke wenza kuliko kukubali kwa shingo upande halafu ukae ukisononeka kila siku dhambi yake ni kubwa sana,kama unajiona huwezi kabisa mwache aoe halafu mdelete kabisa,na umweke wazi why unamdelete,huyo atajuta maisha yake yote,kwan huyu ndugu yake anamtaka sababu anakitu,amini nakwambia kitu alichonacho si kitu kwani hatodumu nacho,endelea na maisha yako na ALLAH atakusitiru.
Asante kwa ushauri wako, kitu nilicho mwambia bila kumficha mie mke wa pili sikai japo kua nampenda lakini kwa hilo ntashindwa
Sijuti na wala sitojuta kumkosa yeye na familia yake watoto wangu wanatosha sitokua wa kwanza wala wa mwisho kuachwa,talaka hataki kutoa anasema ataongea na mamake sasa tuna kuja bongo wote nxt week anakuja kuongea na mamake..
 
Dini au sio dini; sikiliza moyo wako. Kama unaweza kushare mume wako na mtu mwingine go ahead; kama unaona ni ngumu, mwambie na umuombe talaka!

Sioni faida ya kuishi the rest of ur life ukisononeka, lkn ukiona unaweza handle that ni wewe!
kabisa umemshaurii vizurii, kama unaona huwezii chukua kumi zako dada, mumeo ni betrayal kbs..... endelea kumwambia msimamo wako akilazimisha wako huna haja ya kuishi kwa masikitiko maisha yako yoote kisa??? ambaa zako mwaya!
hio ni janja yao wote wawili mtu na mamaye kukuzunguka. tafakari kwa makini chukua hatua madhubuti utakayoona inakufaa.
 
Usimsikilize huyo, wacha mumeo aoe, tena wewe ndio umatayarishie harusi, alkhasir na umpokee mwenzako. Usiwe na roho butu.

Halfu usimsingizie mkweo, hizo ni stori tu alizokupa mumeo ili aku convine, wewe ukitaka usitake, mwenzio ataoa. kwa hiyo kubali yaishe, kama kamanda mbowe alivyofanya juzi bungeni.
Nirahisi sana kusema sababu huelewi nini kinaendelea,na vilevile sijakataa asioe anayo haki yakuoa mpaka 4 ila mie ndio sikai maradhi haya yaloingia na dunia naiwe basi.
 
Nirahisi sana kusema sababu huelewi nini kinaendelea,na vilevile sijakataa asioe anayo haki yakuoa mpaka 4 ila mie ndio sikai maradhi haya yaloingia na dunia naiwe basi.
Maelezo yako yanasikitisha, kama yote uliyoeleza ni ya kweli. Lakini uamuzi unaotaka kuuchukuwa unasikitisha zaidi. Wahenga walisema 'hasira ni hasara'. Kwa kuwa kadhia yako hii ni ya kidini, nakushauri uwaone viongozi wako dini, hasa kama kuna Kadhi na kama hakuna basi muone Sheikh, ili wakupe nasaha na ufafanuzi wa kisheria, kwa sababu nijuavyo mimi, mama hana mamlaka 'kidini' kumlazimisha mwanae kuoa mke fulani. Hili linabaki ni hiari ya mme kuoa au kutokuoa, na mwanamke kuolewa na amtakaye na si vinginevyo. Ndio maana siku ya kufunga ndoa anaulizwa muoaji na muolewaji tu. Hakuna mahali anaulizwa mama.
 
Maelezo yako yanasikitisha, kama yote uliyoeleza ni ya kweli. Lakini uamuzi unaotaka kuuchukuwa unasikitisha zaidi. Wahenga walisema 'hasira ni hasara'. Kwa kuwa kadhia yako hii ni ya kidini, nakushauri uwaone viongozi wako dini, hasa kama kuna Kadhi na kama hakuna basi muone Sheikh, ili wakupe nasaha na ufafanuzi wa kisheria, kwa sababu nijuavyo mimi, mama hana mamlaka 'kidini' kumlazimisha mwanae kuoa mke fulani. Hili linabaki ni hiari ya mme kuoa au kutokuoa, na mwanamke kuolewa na amtakaye na si vinginevyo. Ndio maana siku ya kufunga ndoa anaulizwa muoaji na muolewaji tu. Hakuna mahali
anaulizwa mama.
Nimekuelewa sana,kwa mawazo yangu ambayo najitahidi nisifikirie huko nadhani walikua hawanipendi walikua wananitumia,na mama yake huyu bwana anamwambia mwanawe kua mie nafuja mali kwa mali gani huyo mtoto wao alokujanazo? hawakuona nafuja mali wakati nikiwapa wao.. huyu mama amebadilika roho baada ya kuja huku tunakoishi,hajui kama mwanawe ataondoka na nguo zake tuu namuonea huruma sana huyu mama lakini haya inshallah kheir.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom