Asabaya
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 1,310
- 414
Babari zenu waungwana,
Kwamasitiko makubwa sana naandika haya,mimi ni mama wa watoto 2 tumeishi na mumewangu kwa dhiki kiasi ambacho hata hela ya kodi nalipa
Mimi na haikunikera nilijua kua ipo siku mumewangu atafanikisha,nilikua kipenzi cha wazazi wake mpaka mawifi mungu akajalia nikapata uwezo
Wakujenga nyumba tuka hamia, wazazi wangu walikua wanaishi nchi za nje nilikwenda kuwaona wakati wa kujifungua ili wanangu wawe raia
Nikaongea na mzee iliamchukue mumewangu sababu maisha ni mwanamme kufanya kazi kweli wazazi wakamchukua baada ya mda kapata
Urai wa kigeni akapata kazi mambo yakawa safi, nikaondoka TZ ili kuishi na mumewangu tukawa sote mambo alhamdulillah,
Nikaona kwanini nisimchukue mkwe wangu aje atutembele nikafanya matayarisho yote mama mkwe akaja sikujua kumbe alikua ndio adui
Baada ya kuondoka kurudi TZ ndio alipo aanza kumwambia mumewangu yeye hana radhi nae kama hajaoa mtoto wa kaka yake
Na family yetu wote ni watu wanaojiweza kwahiyo mwanawe anaonekana kama mende wa chooni, kilicho ni kera ni mumewangu
Kukubali anavyotaka mama yake na anasema mimi mke ntamuoa lakini sito lalanae nafanya kumridhisha MAMA.
Yani nimekosa hata lakusema kwakweli sijawahi kumuona mumewangu na uzinzi wa aina yoyote na tuna furaha sikuzote
Sijawahi kumjibu kitu ambacho kitamfanya ajione sio mwanamme lakini huyu mama sumu aloniwekea ndani ya familia yangu
Sitokaa nimsahau na chazaidi anamwambia mwanawe tena kuanzia sasa mali utakazo nunua nisikusikie kumuandikia huyo
Alokufanya Ndondocha manake kila kitu Wangu hivi, wangu unaonaje, wangu nifanyeje? Wangu ni jina ambalo anapenda
Kuniiita, sasa waungwana nilicho mwambia ni kwamba mimi nakupenda na daima ntakupenda mumewangu ila sitopenda
Uwe na mke wapili Yes dini imesema unahaki ya hata 4 lakini mbona sijawaona kukushobokea wakati apeche na hao
Walikua wanamsema maneno kibao ya kejeli mpaka analia na mwisho walifikia kumwambia kua yeye hana mbele wala
Nyuma kama mche wa sabauni ya mbuni, leo kasahau? Kwaupande wangu waungwana naona moyo wa uvumilivu
Utanishinda nasubiri hatima lakini moyo unaniuma sijui nifanyeje ...
Kwamasitiko makubwa sana naandika haya,mimi ni mama wa watoto 2 tumeishi na mumewangu kwa dhiki kiasi ambacho hata hela ya kodi nalipa
Mimi na haikunikera nilijua kua ipo siku mumewangu atafanikisha,nilikua kipenzi cha wazazi wake mpaka mawifi mungu akajalia nikapata uwezo
Wakujenga nyumba tuka hamia, wazazi wangu walikua wanaishi nchi za nje nilikwenda kuwaona wakati wa kujifungua ili wanangu wawe raia
Nikaongea na mzee iliamchukue mumewangu sababu maisha ni mwanamme kufanya kazi kweli wazazi wakamchukua baada ya mda kapata
Urai wa kigeni akapata kazi mambo yakawa safi, nikaondoka TZ ili kuishi na mumewangu tukawa sote mambo alhamdulillah,
Nikaona kwanini nisimchukue mkwe wangu aje atutembele nikafanya matayarisho yote mama mkwe akaja sikujua kumbe alikua ndio adui
Baada ya kuondoka kurudi TZ ndio alipo aanza kumwambia mumewangu yeye hana radhi nae kama hajaoa mtoto wa kaka yake
Na family yetu wote ni watu wanaojiweza kwahiyo mwanawe anaonekana kama mende wa chooni, kilicho ni kera ni mumewangu
Kukubali anavyotaka mama yake na anasema mimi mke ntamuoa lakini sito lalanae nafanya kumridhisha MAMA.
Yani nimekosa hata lakusema kwakweli sijawahi kumuona mumewangu na uzinzi wa aina yoyote na tuna furaha sikuzote
Sijawahi kumjibu kitu ambacho kitamfanya ajione sio mwanamme lakini huyu mama sumu aloniwekea ndani ya familia yangu
Sitokaa nimsahau na chazaidi anamwambia mwanawe tena kuanzia sasa mali utakazo nunua nisikusikie kumuandikia huyo
Alokufanya Ndondocha manake kila kitu Wangu hivi, wangu unaonaje, wangu nifanyeje? Wangu ni jina ambalo anapenda
Kuniiita, sasa waungwana nilicho mwambia ni kwamba mimi nakupenda na daima ntakupenda mumewangu ila sitopenda
Uwe na mke wapili Yes dini imesema unahaki ya hata 4 lakini mbona sijawaona kukushobokea wakati apeche na hao
Walikua wanamsema maneno kibao ya kejeli mpaka analia na mwisho walifikia kumwambia kua yeye hana mbele wala
Nyuma kama mche wa sabauni ya mbuni, leo kasahau? Kwaupande wangu waungwana naona moyo wa uvumilivu
Utanishinda nasubiri hatima lakini moyo unaniuma sijui nifanyeje ...