Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Wabunge vijana January na Zitto wako TBC wakifafanua hoja binafsi walizowasilisha bungeni
Mkuu ingekuwa vizuri ukatoa maoni juu ya umuhimu wa hoja zao kwa maslahi ya taifamisifaz jazz band..........
Haazungumzii mgomo wa madaktari?
Wabunge vijana January na Zitto wako TBC wakifafanue hoja binafsi walizowasilisha bunging
Habari za kutoka ndani ya CCM zinasema J. Makamba na Zitto Kabwe wametwa na kutishiwa kuachana na misimamo yao ya kutaa posho ya vikao vya wabunge. Habari zinasema wameambiwa wanafanya mchezo huo wa kuigiza kwa kuwa wao hawahitaji fedha hizo kutokana na uwezo wa kifedha walionao kutokana na vitega uchumi walivyo navyo. Mtoa habari alisema wakiendelea na usanii huo mambo yao yanaweza kuwekwa hadharani.
Habari za kutoka ndani ya CCM zinasema J. Makamba na Zitto Kabwe wametwa na kutishiwa kuachana na misimamo yao ya kutaa posho ya vikao vya wabunge. Habari zinasema wameambiwa wanafanya mchezo huo wa kuigiza kwa kuwa wao hawahitaji fedha hizo kutokana na uwezo wa kifedha walionao kutokana na vitega uchumi walivyo navyo. Mtoa habari alisema wakiendelea na usanii huo mambo yao yanaweza kuwekwa hadharani.
Habari za kutoka ndani ya CCM zinasema J. Makamba na Zitto Kabwe wametwa na kutishiwa kuachana na misimamo yao ya kutaa posho ya vikao vya wabunge. Habari zinasema wameambiwa wanafanya mchezo huo wa kuigiza kwa kuwa wao hawahitaji fedha hizo kutokana na uwezo wa kifedha walionao kutokana na vitega uchumi walivyo navyo. Mtoa habari alisema wakiendelea na usanii huo mambo yao yanaweza kuwekwa hadharani.
RITZ post zako nakuonaga kama nuksi nikiziona ila leo nakuomba msamaha, pamoja tutajenga taifa letu.Zitto na Janauari, wameonyesha uzalendo wa hali ya juu.
Zitto na Janauari, wameonyesha uzalendo wa hali ya juu.