Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 201
- 439
Binafsi kwenye suala la kupanga na kupangua hoja,kutopanic pamoja na kuwa smart kwenye brain, January Makamba huwa namuona ni mwanasiasa nambari wani kuliko wote katika nchi hii hata kina Zitto, Lissu wakasome.
Nachojiuliza watu wa namba hii huwa wanashindwaje kuhawilisha hayo maarifa kwenye utekelezaji halisi?Maana kwenye implementation katika wizaravya nishati kapata Grade F!
Nachojiuliza watu wa namba hii huwa wanashindwaje kuhawilisha hayo maarifa kwenye utekelezaji halisi?Maana kwenye implementation katika wizaravya nishati kapata Grade F!