Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Ni uelewa finyu tuu,Lakini hajadanganya mkuu
Leo naona ndugu yangu Ritz uko vizuri, uko positive maanake uko supportive keep it up!!!!!!!!!!!!Zitto na Janauari, wameonyesha uzalendo wa hali ya juu.
Habari za kutoka ndani ya CCM zinasema J. Makamba na Zitto Kabwe wametwa na kutishiwa kuachana na misimamo yao ya kutaa posho ya vikao vya wabunge. Habari zinasema wameambiwa wanafanya mchezo huo wa kuigiza kwa kuwa wao hawahitaji fedha hizo kutokana na uwezo wa kifedha walionao kutokana na vitega uchumi walivyo navyo. Mtoa habari alisema wakiendelea na usanii huo mambo yao yanaweza kuwekwa hadharani.
Leo naona ndugu yangu Ritz uko vizuri, uko positive maanake uko supportive keep it up!!!!!!!!!!!!
you bet!!!!!Hilo jina January Makamba lisingetajwa unadhani angejibu vile
Mh Zitto Kabwe amewadanganya vijana wa kitanzania,baada ya kuwaahidi kuwa atapeleka bungeni hoja binafsi kuhusu tatizo la ajira kwa vijana ambalo limekuwa ni disaster kwa sasa..badala yake amesikika akipeleka hoja binafsi ya mambo ya kilimo cha mkonge na kupuuzia ile hoja ya ajira kwa vijana aliyowahaidi kupitia chombo kimoja cha redio hapa Tanzania..
Namuomba Zitto na wanasiasa wengine vijana msiwatumie vijana wenzenu kwa maslahi yenu binafsi,kama mmeshindwa kuwapigania basi waacheni waendelee ku-hustle kimpango wao msijifanye mnaumizwa sana na matatizo yao ikifika suala la kuwawakilisha inakuwa usanii mtupu..vijana ni waelevu wanausoma tu mchezo.
Zitto ataitwaje na CCM???? sidhani kama una uhakika na ulichokiandika.
Zitto na Janauari, wameonyesha uzalendo wa hali ya juu.
Mh Zitto Kabwe amewadanganya vijana wa kitanzania,baada ya kuwaahidi kuwa atapeleka bungeni hoja binafsi kuhusu tatizo la ajira kwa vijana ambalo limekuwa ni disaster kwa sasa..badala yake amesikika akipeleka hoja binafsi ya mambo ya kilimo cha mkonge na kupuuzia ile hoja ya ajira kwa vijana aliyowahaidi kupitia chombo kimoja cha redio hapa Tanzania..
Namuomba Zitto na wanasiasa wengine vijana msiwatumie vijana wenzenu kwa maslahi yenu binafsi,kama mmeshindwa kuwapigania basi waacheni waendelee ku-hustle kimpango wao msijifanye mnaumizwa sana na matatizo yao ikifika suala la kuwawakilisha inakuwa usanii mtupu..vijana ni waelevu wanausoma tu mchezo.
Ama kweli CCM inajilisha sumu yenyewe, taratiiibu uhai wake unaondoka. Juzi wamegomea maslahi ya madaktari; leo wanapitisha nyongeza ya posho za wabunge.........
Mwisho wa siku, January na Zitto wanachokipata ni heshima kubwa mbele ya umma, which matters the most. Serikali au Bunge kuwaona vinginevyo, should not shake them at all. Kazi nzuri vijana.
Habari za kutoka ndani ya CCM zinasema J. Makamba na Zitto Kabwe wametwa na kutishiwa kuachana na misimamo yao ya kutaa posho ya vikao vya wabunge. Habari zinasema wameambiwa wanafanya mchezo huo wa kuigiza kwa kuwa wao hawahitaji fedha hizo kutokana na uwezo wa kifedha walionao kutokana na vitega uchumi walivyo navyo. Mtoa habari alisema wakiendelea na usanii huo mambo yao yanaweza kuwekwa hadharani.
ulidhani Zitto sio mdanganyifu? vipi wewe?