Ukweli halisi: Rushwa imetembea sana kwenye uchaguzi wa Wabunge wa EALA. Wabunge wa vyama VYOTE tunahusika. Aibu kwa taifa zima!
Swali ninalojiuliza,,,,shyrose bhanji alihonga nini?
Ukweli halisi: Rushwa imetembea sana kwenye uchaguzi wa Wabunge wa EALA. Wabunge wa vyama VYOTE tunahusika. Aibu kwa taifa zima!
Maneno yake hayo on twitter
Swali ninalojiuliza,,,,shyrose bhanji alihonga nini?
Swali ninalojiuliza,,,,shyrose bhanji alihonga nini?
nasubiri jibu teh teh teheeee...
ahh na kingereza chake cha marekan TANDALE jana wakat anaomba kura dah...bdada anajua sana kuutumia UCHUMI WAKE wala haukaliiiii mwaya akhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ye anapaa tu kwa raha zake:car:
kule kwenye twitter wanalambana miguuMambo gani ya kutuletea J. Makamba on twitter..................................
Kwanini asije hapa akaeleza what happen kuliku kwende kujificha huko twitter...tweet.....brah brah au wewe ndo makamba?