Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,398
- 3,907
Uovu ni roho ambayo huuongoza mwili wa mwanadamu na hii roho humtesa Sana mwanadamu mpaka aombewe au akutane na shetani kwenye mazingira ambayo itabidi akatubu na kuombewa na hatimaye roho mbaya huondoka Mara moja na kubaki mtu mwema
Malezi mabaya waliyopewa hawa vijana wawili Nape na Makamba wakiongozwa na wazee kama Kikwete na Kinana wamejiona wao ni mabilionea Sana, matajiri Sana, werevu Sana kumbe ni watu ambao mfumo ukibadilika hata Leo watarudi kwenye umasikini mkubwa kupindukia wa kupanda bodaboda.
Ukiwachunguza hawa vijana wawili, utagundua kubwa mission yao ni kumshoofisha Samia ili walete mtu wao ambaye atatawala miaka 10 mingine ili waendeleee kunyonya kwa Mirija.
Niwape siri nyie vijana: Mrudieni muumba wenu, vita mliyoianzisha hamuiwezi. Nchi inataka kurudi kwenye misingi yake. Itamvuruga kila mwenye kiburi anayelenga masilahi binafsi. Nawaatahadharisha tu kuwa 'your days are numbered' kama hamtabadilika. Kikwete wala Kinana hawatatetea. You are no longer special to outshine the system.
Malezi mabaya waliyopewa hawa vijana wawili Nape na Makamba wakiongozwa na wazee kama Kikwete na Kinana wamejiona wao ni mabilionea Sana, matajiri Sana, werevu Sana kumbe ni watu ambao mfumo ukibadilika hata Leo watarudi kwenye umasikini mkubwa kupindukia wa kupanda bodaboda.
Ukiwachunguza hawa vijana wawili, utagundua kubwa mission yao ni kumshoofisha Samia ili walete mtu wao ambaye atatawala miaka 10 mingine ili waendeleee kunyonya kwa Mirija.
Niwape siri nyie vijana: Mrudieni muumba wenu, vita mliyoianzisha hamuiwezi. Nchi inataka kurudi kwenye misingi yake. Itamvuruga kila mwenye kiburi anayelenga masilahi binafsi. Nawaatahadharisha tu kuwa 'your days are numbered' kama hamtabadilika. Kikwete wala Kinana hawatatetea. You are no longer special to outshine the system.