Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Mkuu nilichojaribu ni kukiombea ushahidi..kama hakina ushahidi basi mimi mada nitaidondoshea hapo....
Mwazange,
Unajua maana ya "hearsay" ? Unajua maana ya "inasemakana" ? Unajua maana ya "kama sikosei."
Let's go over this again:
Kama sikosei conflict of interests ndizo zilizopelekea hata Said Yaakub kuacha kublog. Inasemekana BBC walimjia juu (just a hear say I am sorry)...
Mama taratibu una uhakika na unachokisema au ndo redio mbao....?
Ulikurupuka ovyo!
Unauliza kama ana uhakika wakati umeambiwa ni hearsay ?
Hukuwa makini. Huna umakini wa kumwambia huyo Mama eti "pick your battles." Wewe sio mtu wa kuhofiwa kwa "battles" hapa! Uhofiwe wakati hujui maana ya neno "inasemekana" ?