January makamba aanzisha SMS na wananchi wa Bumbuli

U are obviously missing the point. Which I'm not surprised. The idea is wananchi kuwa na ear na mbunge wao at all times. Na mbunge kuwa in-tune na kero za wananchi wake on demand. I guess that is what uwakilishi is all about.

Now, regardless if you are Chadema or CCM--consensus should be this is a good idea. Obviously we don't know the detail of monies, but if I'm from Bumbuli, I'm getting the free service and that is all I want.


Tatizo la wabunge kupenda high-life ya Dar es Salaam kunawafanya wasipende kukaa majimboni kuona hali halisi za maisha ya wananchi wanaowawakilisha.....so hii ni excuse ya kusema nina mawasiliano na wananchi wangu hata nikiwa Dar es Salaam muda wote wa miaka 5 ya ubunge.

Kwa hiyo atatumia muda mwingi kukaa Dar es Salaam kwa sababu mawasiliano yapo na kufanya visits chache kuonekana kuwa yupo. I think for me hiyo ndiyo essence yake nothing more ....tusubiri miaka mitano tuone.
 
user-offline.png
Babu Lao

Yesterday 06:39 PM
#2
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : Tue Nov 2010
Location : Korokocho
Posts : 426
Thanks50Thanked 51 Times in 38 Posts

Rep Power : 21

AVATAR YAKO MKUU IMEKAA VZR

samahani lakini kwa kutoka nje ya mada
 
Watu wengine hawana akili timamu... badala ya kuangalia vipaumbele vya msingi.. yeye anapeleka SMS kwa watu wasiojua kutumia simu.
 
Si haki kusema Bumbuli hawajui kutumia simu.
Si haki kusema kuwa SMS ndio tatizo la mwisho la wanaBumbuli,
Mie sio mshabiki wa CCM wala CDM ila mbunge akishachaguliwa na kuapishwa, basi afanye vyote awezavyo kuwatumikia watu wake.
SMS za bure zinasaidia sana kutoa taarifa ya vitu ambavyo haviendi vizuri na hapo ulipo unadhani utawala wa mwanzo unamdanganya mbunge.
inaweza kusaidia kutoa habari za haraka, na mwanzo kutoka chanzo cha tukio, mfano kuvuja maji kusikoshughulikiwa, viongozi wa kata/kijiji wasiofika makazini au kutoa huduma, rushwa ndogondogo nk.

Ni viongozi wachache wenye kukubali kupewa firsthand information kama hivi, ni ujasiri mkubwa, manake lazima baada ya muda atakuwa confused na conflicting information ambazo watu wanatumia kujipendekeza, kujisafisha au kuchafua wenzao. Atapata kazi sana. Namtakia kila na heri kuweza kufuatilia kila habari anayopata ili KULETA MAENDELEO.
Wasiwasi wangu ambao ni kawaida kwa kila kitu kipya ni mkubwa sana japo kwa mtu jasiri hatatishika:
- je ataweza kuzifuatilia sms zote kwa haki? na kutekeleza yanayotegemewa?
- je ataweza kuzilipia? anapata wapi pesa? ameingia mikataba binafsi au jimbo na makampuni yapi? mikataba ya aina gani?
- kwanini alipie yeye asiweke kwenye bajeti ya mfuko wa mbunge?
- huwa sipendi mbunge anayetoa fedha mfukoni kutumikia jimbo, kisha ikatangazwa, huwa naona sio sustainable, huwa napenda ishu ziwekwe mezani, kama zina faida zipangiwe bajeti, kama ni muhimu na hakuna fedha, wafadhili watafutwe na halmashauri akiwemo yeye.

Ni ngumu sana kuwa mtoto wa public figure, ni ngumu kujitengenezea sura yako mwenyewe, jitahidi usikate tamaa kijana kama kweli una nia utaweza, lakini kama ni njia unatayarishiwa na baba yako kwenda kwenye nafasi kubwa za kuwafichia siri zao, utaumbuliwa vibaya sana muda si mrefu.
 
Si haki kusema Bumbuli hawajui kutumia simu.
Si haki kusema kuwa SMS ndio tatizo la mwisho la wanaBumbuli,
Mie sio mshabiki wa CCM wala CDM ila mbunge akishachaguliwa na kuapishwa, basi afanye vyote awezavyo kuwatumikia watu wake.
SMS za bure zinasaidia sana kutoa taarifa ya vitu ambavyo haviendi vizuri na hapo ulipo unadhani utawala wa mwanzo unamdanganya mbunge.
inaweza kusaidia kutoa habari za haraka, na mwanzo kutoka chanzo cha tukio, mfano kuvuja maji kusikoshughulikiwa, viongozi wa kata/kijiji wasiofika makazini au kutoa huduma, rushwa ndogondogo nk.

Ni viongozi wachache wenye kukubali kupewa firsthand information kama hivi, ni ujasiri mkubwa, manake lazima baada ya muda atakuwa confused na conflicting information ambazo watu wanatumia kujipendekeza, kujisafisha au kuchafua wenzao. Atapata kazi sana. Namtakia kila na heri kuweza kufuatilia kila habari anayopata ili KULETA MAENDELEO.
Wasiwasi wangu ambao ni kawaida kwa kila kitu kipya ni mkubwa sana japo kwa mtu jasiri hatatishika:
- je ataweza kuzifuatilia sms zote kwa haki? na kutekeleza yanayotegemewa?
- je ataweza kuzilipia? anapata wapi pesa? ameingia mikataba binafsi au jimbo na makampuni yapi? mikataba ya aina gani?
- kwanini alipie yeye asiweke kwenye bajeti ya mfuko wa mbunge?
- huwa sipendi mbunge anayetoa fedha mfukoni kutumikia jimbo, kisha ikatangazwa, huwa naona sio sustainable, huwa napenda ishu ziwekwe mezani, kama zina faida zipangiwe bajeti, kama ni muhimu na hakuna fedha, wafadhili watafutwe na halmashauri akiwemo yeye.

Ni ngumu sana kuwa mtoto wa public figure, ni ngumu kujitengenezea sura yako mwenyewe, jitahidi usikate tamaa kijana kama kweli una nia utaweza, lakini kama ni njia unatayarishiwa na baba yako kwenda kwenye nafasi kubwa za kuwafichia siri zao, utaumbuliwa vibaya sana muda si mrefu.

Ndugu HAIKA,
1) Nadhani hujafika Bumbuli,sio kama Kibosho...watu wangapi unadhani wana uwezo wa kununua handsets za kumtumia mbunge wao SMS? Watachaji wapi simu zao na hakuna umeme huko hata ukiwepo hauwaki kila siku?mimi nachaji yangu ofisini manake nyumabani kila nikirudi kuna mgao.
2)Ukisoma tangazo lake anasisitiza watumie SMS kumjulisha matatizo yao...vipi kuhusu feedback atawajulisha namna gani suluhu ya matatizo yao?
3)Kwa kutowatoza gharama ina maana anatoa subsidy kwa service providers au wao wanampa.Kwanini astitumie pesa hiyo kudumisha huduma za kijamii amabazo ni kero za jumla kuliko hizo za mtu mmoja amabazo ni ngumu kuzitatua?
4)Huyu kijana anajaribu kutumia superficial solutions to ordinary problems...mbona hakukampeni kwa kutumia SMS?
 
Ninadhani cha kujadili zaidi ni kuangalia kua mawasiliano ni muhimu au sio muhimu kwa wananchi kwa ujmla. Kwa wale wanaoamini democracy ninadhani kua hiyo ni highest level of democracy ya kuwapa watu uhuru wa kusema wanachoami. Ni na nilazima tuwe wakweli kua ni viongozi wachache kwa nchi yetu wanaoweza kufanya hivyo kwasababu wanajua watatukanwa sana.

Ukirudi kwenye swala la uwizi kwa wale wanaosema ameiba wafungue mashtaka ili kuthibitisha madai yao kwani ni rahisi kusema kua mtu ameiba. Sidhani kua ni kuiba kiongozi kuhangaika kwa wadhamini kwa juhudi zake kwa ajili ya watu wake na viongozi hao ndio tunaowahitaji kwa sasa.
 
Hizi ni chuki tu na ushabiki wa kiitikadi. Huyu jamaa kaamua kuwekeza jimboni kwake na kuleta maendeleo lakini bado mnachonga tu. What more can he do?

The level of hypocrisy in this place is unbelievable. Au kwa sababu wabunge wenu mliowachagua wako busy kuandamana na kusaka cheap umaarufu instead of bringing about maendeleo?

Ndugu yangu Sele jaribu kuangalia kwa upana zaidi, achilia mbali swala la ushabiki wa watu. Ukiangalia kwa makini effort anazofanya JM si priority ya watu Bumbuli. Kingine ni kuwa tunatarajia mbunge wetu kutoa leadership na si kuja na business plan zake kwa wananchi. Swala lako kuwa mnataka afanye nini ni misconception kubwa na sishangai unachouliza? Ukweli n i kwamba wananchi wa Bumbuli ndio wanatakiwa kusema afanye nini na si yeye kama alivyoanza sasa?
 
Ndugu yangu Sele jaribu kuangalia kwa upana zaidi, achilia mbali swala la ushabiki wa watu. Ukiangalia kwa makini effort anazofanya JM si priority ya watu Bumbuli. Kingine ni kuwa tunatarajia mbunge wetu kutoa leadership na si kuja na business plan zake kwa wananchi. Swala lako kuwa mnataka afanye nini ni misconception kubwa na sishangai unachouliza? Ukweli n i kwamba wananchi wa Bumbuli ndio wanatakiwa kusema afanye nini na si yeye kama alivyoanza sasa?


red..... well done great thinker

personal ambitions against priority of the majority
 
Ndugu yangu Sele jaribu kuangalia kwa upana zaidi, achilia mbali swala la ushabiki wa watu. Ukiangalia kwa makini effort anazofanya JM si priority ya watu Bumbuli. Kingine ni kuwa tunatarajia mbunge wetu kutoa leadership na si kuja na business plan zake kwa wananchi. Swala lako kuwa mnataka afanye nini ni misconception kubwa na sishangai unachouliza? Ukweli n i kwamba wananchi wa Bumbuli ndio wanatakiwa kusema afanye nini na si yeye kama alivyoanza sasa?

Yeye kama kiongozi aliye elimika anaweza kujua watu wa Bumbuli wanataka nini lakini akachukua uamuzi wake kutokana na uwezo alionao na akajua atatatua vipi tatizo la Bumbuli na ndio maana alichaguliwa.

Kama watu wa Bumbuli wana uwezo wa kutatua matatizo yao eti kwa sababu wanayajua wangefanya hivyo muda mrefu. What you need there is a proper governance and not government.
 
Argument kuwa mawasiliano ya simu yanaleta maendeleo inanitatiza. Ni kweli kwa watu wenye dili inawasaidia kuzipeleka chap-conviniently- maana ni rahisi kuwasiliana. kwa wananchi wa kawaida, walionyang'anywa vyanzo vya kipato na mafisadi kama vile mashamba na hata usawa katika masoko ya mazao yao... teknolojia hii imekua mzigo zaidi kwao badala ya fursa (ref. ndo vyanzo vya vigogo kuchkua ardhi mashambani, walanguzi wa korosho, mizigo ya lumbesa,nk.) SWALI: mtanzania maskini wa Bumbuli anafanyia shughuli gani za kimaendeleo za kuzalisha kwa hiyo simu zaidi ya kuliwa vocha kwa kucheza bahati nasibu za uongo kila uchwao? Hapa Dar wangapi wana simu na wangapi zimewasaidia kuwaletea hayo maendeleo? AU MAENDELEO NI KULONGALONGA? MAENDELEO YANAMLENGA M-BUMBULI YUPI?

MAWASILIANO YA SIMU KWA MTAZAMO WANGU NI JUST A PART OF MASS CONSUMPTION TU AMBAYO KILA MTU ANAONA ANAHITAJI LAKINI SI WENGI WANATUMIA PRODUCTIVELY ---NI KM ILIVO KUNUNUA TV, haimaanishi utakua informed zaidi. sanasana utakuta wanaangalia ze komedi, isidingo nk. taarifa ya habari wanahamia tv ingine yenye mziki!!! kwenye simu maneno km "mambo mengine..niambie" kibao

KWAMBA WA-BUMBULI WATATUMIA SMS KUFIKISHA MATATIZO YAKO: SHIDA KWANI NI KUJUA MATATIZO? HAYAJUI???? SHIDA SI KUJUA MATATIZO... MBONA YA DOWANS, WAZEE WA EAST AFRIKA, GHARAMA ZA MAISHA-ZOTE NI TAARIFA ZINAFIKISHWA KWA WAHUSIKA KILA SIKU KWA NJIA MINGI- LAKINI NANI KACHUKUA HATUA!!???????
 
167117_152062674849701_100001379073127_259983_1679270_n.jpg


Now, this is the epitome of kuwakilisha wananchi!

Mimi kinachonifanya nione kabisa huu ni usanii amesema sms ni kwaajili wa wananchi "watume kero zao". Sasa kwani kero zao yeye hazifahamu? Je zile alizozifanyia research mpaka akaandika kitabu ameshazimaliza?? Alivyokuwa anagombania ubunge alikua na priorities zozote? It is very easy kumjua mtu asiyekua na goals. If you aim at nothing you will hit it everytime (Archery Principle).
 
Back
Top Bottom