mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
selemani umesikika na pumba zako..................Hizi ni chuki tu na ushabiki wa kiitikadi. Huyu jamaa kaamua kuwekeza jimboni kwake na kuleta maendeleo lakini bado mnachonga tu. What more can he do?
The level of hypocrisy in this place is unbelievable. Au kwa sababu wabunge wenu mliowachagua wako busy kuandamana na kusaka cheap umaarufu instead of bringing about maendeleo?