JamiiForums inavyobadilisha maisha yangu kwa kunipa wazo la (THD)

Big up mkuu,safi sana hii
TOPTRUST HELP DESC (A standby force) “ 0693354479 “
Baada ya kupitia nyuzi nyingi humu nilipata wazo!

nikachukua hatua ya kukusanya taarifa zote muhimu za jiji la DAR ES SALAAM kuhusu huduma wanazohitaji watu ili kurahisisha maisha yao na kuokoa muda.
sasa naweza kukusaidia

Kila eneo muhimu la jiji, kuna kijana mmoja nilie muweka anaeshughulikia kazi zenu, ili nyie wapendwa wangu muendelee na shughuli zenu maofisini na sehemu zenu za biashara bila majukumu kuingiliana.
kwa malipo ya kawaida kwa kazi na bure kwa maulizo.

NITAFUTE KWA KAZI YAKO YOYOTE AU MAULIZO NDANI YA JIJI LA DAR ES SALAAM KUPITIA 0693354479 saa 24!

LOCATION

MAKUMBUSHO (Yupo kijana)

UBUNGO (yupo kijana)

KARIAKOO (yupo kijana )

POSTA (yupo kijana)

TEGETA (yupo kijana)

HUDUMA GANI NAWEZA KUSAIDIWA?

EPUKA FOLENI

Kuwahi foleni mbali mbali mfano NIDA, HOSPITALI, BANK kijana atawahi na kukaa foLeni, ukifika unalipia pesa unaendelea kupata huduma bila usumbufu..

WAHI TICKET ZA MABASI
Kukata tiketi kijana kutoka ubungo atakusaidia kukukatia tiketi gari unalotaka, kwa muda unaotaka, wakati wa kusafiri atakukabidhi tiketi yako.. utamlipa kwa malipo ya kazi hiyo na unaweza kumtumia pia hata kupokea na kutuma mizigo.

MANUNUZI KARIAKOO
Kijana wa kariakoo atakusaidia katika manunuzi yako na maelekezo ya mahali pa kupata bidhaa au vifaa unavyohitaji utamlipa kulingana na kazi iliyofanyika na muda uliotumika.

PRINTING & DESIGNING
Ukihitaji kupelekwa mahali wanapoprint kwa gharama nafuu na Quality nzuri mfano A4 MATERIAL YOYOTE 500tsh, bunner, calendar, tshirt, sticker, Business card kwa bei nafuu mno tofauti na maeneo unayoyafahamu wewe. usisite kutuuliza.

WEDDING & VIDEO PRODUCTION

Kwa upande wa harusi tunao watu wengi wa video production na ma mc hivyo tutakusaidia kumpata anaeweza kumudu mahitaji yako.. vijana wapo kila kona kuhakikisha wale wote wanaofanya vizuri tunawajua.
Kwa wale wanaohitaji DRONE piga namba hiyo hapo juu.

UFUNDI
Sisimami katika nafasi ya ufundi lakini tutakupeleka kwa fundi anaeweza kumudu tatizo lolote kwa electronic device yako hasa computer baada ya sisi kujiaminisha kua ni fundi mzuri na muaminifu.

Nipigie kwa kazi yoyote unayohitaji kusaidiwa kwa maana vijana wapo stand by kukuhudumia.

Karibu TOPTRUST HELP DESK a standby force 0693 35 44 79.

maswali yote najibu hapa hapa chini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ya kufanya manunuzi K'koo nimeipenda. Uaminifu na connection ya usafiri ni muhimu.
Jitahidi uwe na bei rafiki na vijna waaminifu
 
wazo zuri lakn naona kama unahitaji vijana wengi sana . hii ni kwa mfano una wateja 100 na wote wanahitaji huduma kwa wakati huo. mfano kuna wateja wanataka uwahi nafasi Bank au Hospital ma wakati huo huo wateja wengine wanataka wakanunuliwe mahitaji kkoo au posta huoni kama una nguvu kazi / vijana wachache unaweza pata stress . anyway jaribu kuangalia upande huo japo ndo mnaanza coz mnategemea kukua zaidi .

swali la nyongeza: Hii inakulipaje kwa maana pesa analipwa kijana wako wa kazi je upande wako pesa unaipataje ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana kijana kwa kubuni hili ni wazo zuri sana keep it up. Ushauri wangu siku hizi kuna matapeli wengi jambo ambalo linafanya biashara nyingi au mawazo ya biashara kufail hivyo jitaidi sana kuwa mwaminifu na kuwafundisha vijana wako kuwa na uaminfu wa hali ya juu sana, kwani likitokea hata kosa moja inaweza kuchukuliwa kama genge la matapeli na hata kuchukuliwa hatua za kisheria nyote kwa pamoja.
 
wazo zuri lakn naona kama unahitaji vijana wengi sana . hii ni kwa mfano una wateja 100 na wote wanahitaji huduma kwa wakati huo. mfano kuna wateja wanataka uwahi nafasi Bank au Hospital ma wakati huo huo wateja wengine wanataka wakanunuliwe mahitaji kkoo au posta huoni kama una nguvu kazi / vijana wachache unaweza pata stress . anyway jaribu kuangalia upande huo japo ndo mnaanza coz mnategemea kukua zaidi .

swali la nyongeza: Hii inakulipaje kwa maana pesa analipwa kijana wako wa kazi je upande wako pesa unaipataje ?

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna percent ya ofisi kwa kila pesa inayolipwa.. Kwa maana kazi zote zinanifikia mimi kwanza then nampatia anaweza kuifanya kwa wakati na kwa uhakika.. Wazo lako nalifanyia kazi hope ntakua na vijana wengi tu hivi karibuni.
 
k
post: 34062376 said:
Hongera sana kijana kwa kubuni hili ni wazo zuri sana keep it up. Ushauri wangu siku hizi kuna matapeli wengi jambo ambalo linafanya biashara nyingi au mawazo ya biashara kufail hivyo jitaidi sana kuwa mwaminifu na kuwafundisha vijana wako kuwa na uaminfu wa hali ya juu sana, kwani likitokea hata kosa moja inaweza kuchukuliwa kama genge la matapeli na hata kuchukuliwa hatua za kisheria nyote kwa pamoja.
kweli kabisa unachokisema, nafanyia kazi kila wazo mkuu.. Asante kwa ushauri.
 
Back
Top Bottom