johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,611
- 142,931
Mabango ya Chadema yanayotangaza Watu maarufu watakaohudhuria Mkutano wa Dr Slaa pale Temeke yamemuorodhesha pia mwenyekiti wa zamani wa Nccr James Mbatia aka Mama Tanzania
Mbatia amekuwa kimya kwa kipindi kirefu na bado haijajulikana kilichomuibua ni Dr Slaa au Chadema
Jumaa kareem!
Mbatia amekuwa kimya kwa kipindi kirefu na bado haijajulikana kilichomuibua ni Dr Slaa au Chadema
Jumaa kareem!